Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
mkuu hili swali lilikuwa nje ya uwezo wangu, ila nashukuru mchanguaji hapo juu ametoa ufafanuziNaomba kuuliza, kama umemdhamini mtu mahakama ya Mwanzo amepangiwa tarehe ya kurudi Mahakamani, ikifika tareh husika kwani ni lazima mdhamini uwepo au yey mtuhumiwa akienda si basi inatosha?
Au??