Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
mkuu hili swali lilikuwa nje ya uwezo wangu, ila nashukuru mchanguaji hapo juu ametoa ufafanuziNaomba kuuliza, kama umemdhamini mtu mahakama ya Mwanzo amepangiwa tarehe ya kurudi Mahakamani, ikifika tareh husika kwani ni lazima mdhamini uwepo au yey mtuhumiwa akienda si basi inatosha?
Au??
Asante mkuu pamoja sanamkuu hili swali lilikuwa nje ya uwezo wangu, ila nashukuru mchanguaji hapo juu ametoa ufafanuzi
poa kiongoziAsante mkuu pamoja sana
Hizo zinaishia mifukoni za hao wajanjaKuna zingine unaambiwa na baadhi ya wahudumu wa mahakamani unabei gani ili tukupe dhamana ya NDG yako. Sanasana mahakama za mwanzo unafunguliwa droo unaambiwa weka humu kakae nje tutakuita. Hizo nazo zinaenda hazina ?
Kumbe mdhamini huwa hatoi hela? Na vipi akitoa na mshitakiwa akashinda kesi, hela inarudi?Asilimia 90 huwa ni katika maandishi tu.kama mtu akikwepa hiyo dhamana, mdhamini ataleta hiyo milioni 10. Mara chache sana mshtakiwa hutakiwa kuweka dhamana ya pesa taslimu hutokea kwenye kesi nzito
Dhamana sio mapato mkuu, dhamana (kama ni fedha taslimu) hurudishwa kwa mhusika (mdhamini) baada ya kuisha kesi au muda wowote atakapoamua kujitoa kama mdhamini wa mtuhumiwa..itaingizwa kama mapato pale tu mtuhumiwa atakapokiuka masharti ya dhamana kwa kutoroka na mdhamini ashindwe kumfikisha mahakamani au kueleza mahali alipo ili asaidiwe kumpata...
sio mtuhumiwa kushinda kesi, bali kesi kuisha kwa ama mtuhumiwa kuhukumiwa kifungo, au faini au vyote viwili au kuachiwa huru. Vyovyote vile kesi itakavyoamuliwa.Kumbe mdhamini huwa hatoi hela? Na vp akitoa na mshitakiwa akashinda kesi, hela inarudi?
Hili jibu ni sahihi na ndo ilivyo. Mleta mada kama hajalielewa basi afunge safari mpaka mahakama iliyo karibu yake kwa ufafanuzi zaidi.Ni kwamba unasaini bond kuwa utawasilisha fedha hizo ikiwa uliemdhamini atatoroka hivyo hutoi pesa taslim lakini ikikulazimu kutoa pesa taslim unatakiwa upewe/ udai risiti ya fedha hizo ili dhamana inapokwisha urudishiwe mpunga wako.
Katika kesi ya jinai mtuhumiwa anapofariki, kesi huisha automatically , hivyo dhamana zitarudishwaNa ikitokea kwa mfano mshitakiwa akajiua vp hapo hela itarudishwa? Au akafariki katkati ya kesi
Asante mkuu kwa ufafanuziKatika kesi ya jinai mtuhumiwa anapofariki, kesi huisha automatically , hivyo dhamana zitarudishwa
Mkuu usimdanganye jamaa, sio rahisi akapewa maelezo mahakamani, kwa mahakama zetu hizi !!, huwa hawapendi watu wajue haki zao wala sheria, kwani wakijua itakuwa ngumu kuwadhulumu au kuwaibiaHili jibu ni sahihi na ndo ilivyo. Mleta mada kama hajalielewa basi afunge safari mpaka mahakama iliyo karibu yake kwa ufafanuzi zaidi.
Nilimaanisha alichojibiwa kwenye post # 10 na aliyekazia kwenye post # 30 ni maelezo yanayompa jibu sahihi la swali lake. Nje ya hapo atadesa ndo nikashauri aende mahakamani. Ni kwa nia njema tuMkuu usimdanganye jamaa, sio rahisi akapewa maelezo mahakamani, kwa mahakama zetu hizi !!, huwa hawapendi watu wajue haki zao wala sheria, kwani wakijua itakuwa ngumu kuwadhulumu au kuwaibia
Asante Mkuu kwa kunielewesha vemasio mtuhumiwa kushinda kesi, bali kesi kuisha kwa ama mtuhumiwa kuhukumiwa kifungo, au faini au vyote viwili au kuachiwa huru. Vyovyote vile kesi itakavyoamuliwa, maana yake imefika mwisho na hivyo dhamana hata kama ni ya fedha lazima irudi kwa aliyeiweka (mdhamini) maana imekwishamaliza kazi yake ((kumdhamini mtuhumiwa wakati kesi inaendelea kusikilizwa), ni kama tu zitavyorudishwa hati za viwanja na mashamba kama ziliwekwa hizo.
Kasome kitabu cha somo la Civics kidato cha kwanzaSwali ni; huwa zinakwenda wapi?
Huwa zinakarabati majengo ya kota za police ili wapate kuwatumikia vzr[emoji23]Asilimia 90 huwa ni katika maandishi tu. kama mtu akikwepa hiyo dhamana, mdhamini ataleta hiyo milioni 10. Mara chache sana mshtakiwa hutakiwa kuweka dhamana ya pesa taslimu hutokea kwenye kesi nzito
Baada ya kuchukua hizo fedha huenda wapi?Dhamana sio mapato mkuu, dhamana (kama ni fedha taslimu) hurudishwa kwa mhusika (mdhamini) baada ya kuisha kesi au muda wowote atakapoamua kujitoa kama mdhamini wa mtuhumiwa, itaingizwa kama mapato pale tu mtuhumiwa atakapokiuka masharti ya dhamana kwa kutoroka na mdhamini ashindwe kumfikisha mahakamani au kueleza mahali alipo ili asaidiwe kumpata.
Hata hivyo mahakama itampa muda mtu huyu amtafute huyo mtuhumiwa na atakaposhindwa kumfikisha mahakamani mpaka muda aliopewa kuisha..basi ndio watakapoichukua hiyo pesa (kutaifisha) na kama dhamana ni mali (nyumba au kiwanja) watavutaifisha na kuvipiga mnada