Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,724
- 1,693
Jamani hivi kumbe tunasoma huku tunategemea serikali 100%?
Ina maana support ya ndugu na jamaa itakuja kuonekana lini..? siku tukiwa na kazi ama?
Btw, wanafunzi nao wana matumizi mabovu sana ya pesa, pesa ya boom ina uwezo wa kutumiwa vizuri kabisa na ku-cover RISKS kama hizi... mpe mwanafunzi sasa uone, mwezi mmoja tu pesa imeisha, kilichofanyika utakuta ni nje kabisa ya pesa ilichopangiwa, achilia mbali wale wanaosaidia ndugu zao kwa hizo pesa, lakini hilo nalo halikuwa lengo...
Hata hizo pesa za field nazo wengi wakipewa huwa zinaisha hata kabla ya muda wa field, kwani uongo?
MATUMIZI YA PESA KWA WANAFUNZI WA VYUO NI MABOVU SANA, TUSEME UKWELI TU, SIO LAWAMA KILA SIKU.....!
we ngoja uone vyuo vikifunguliwa, watu watadai pesa fasta kama vile walikuwa wanalala njaa ama wamefukuzwa kwao, hata wiki haipiti..
JAMANI EENH, MNAPOPEWA PESA, IWE NI YA M.A ama FIELD, JARIBUNI KUTUNZA JAPO KIASI KIDOGO CHA KUWASAIDIA HAPO BAADAE KWA RISK KAMA HIZI,
WENGINE HATA VYUO WAKISHAHITIMU WANAKOSA MPAKA NAULI... STAREHE ZITAWAMALIZA..
Ama kweli if you want to be wiseman keep quiet to maintain your intellegence