Fedha za kujikimu ajira mpya

Kitaeleweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
394
Reaction score
88
Thank God nimebahatika ajira mpya simanjiro mkoa wa manyara level ya shahada jee nastahili kupata kiasi gani subsistance allowance na lini zitapatikana? Na pls mwenye kujua nauli kutoka arusha mjini mpaka simanjiro let me know. Thank you.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Simanjiro ni bush sana mkuu.
 
Ndo kuzuri kuanzia kazi mjini kila kitu pesa. Nauli sh ngapi from arusha?


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ndo kuzuri kuanzia kazi mjini kila kitu pesa. Nauli sh ngapi from arusha?


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

kama tsh 10000 kutoka arusha mjin,ni umbali wa masaa matatu na ni rough road.
 
Oh! Thanx ntajipanga nikapacheki sometymz later kabla ya kuripoti 1 march nisije acha kazi huku nikakimbilia porini zaidi. Nilipo ni rough road masaa 4 kutoka wilayani nauli 12000 no umeme no ntwk.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 

hamtapewa,subsistence zenu zimepelekwa kujengea nyumba za walimu,
 
Kwa mwalimu wa shahada last year ilikuwa 45000 kwa siku saba kama umepangiwa wilayani(kijijini), 65000 kwa siku saba kama umepangiwa mjini. but kila mwaka mambo yanabadilika kwani mwaka juzi walitoa hela ya siku 14
 
Nimetafuta sana majina ya walimu waliochaguliwa katika ajira mpya siyapati naomba nisaidie
 
hamtapewa,subsistence zenu zimepelekwa kujengea nyumba za walimu,

Hii niliisikia ila ckuelewa kwa hiyo hatupati kitu mbona hapatatosha?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kwa mwalimu wa shahada last year ilikuwa 45000 kwa siku saba kama umepangiwa wilayani(kijijini), 65000 kwa siku saba kama umepangiwa mjini. but kila mwaka mambo yanabadilika kwani mwaka juzi walitoa hela ya siku 14

Najiandaa kupata kitu kaa 0.5mil hivi ila hii habari ya pesa ya kujikimu kujengea nyumba cjui itakuwaje.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Waraka wa serikali wa utumishi wa umma unasema mtu anayeajiriwa na serikali ni lazima alipwe fedha za subsistence allowance kabla ya kuripoti kwenye kituo cha kazi kwahiyo swala la kutopewa hizo fedha ni uzushi
 
mmmh!kweli ualimu wito uliondoka toka enzi zileeeee!yaani cha kwanza kufikiri ni fedha!!!
 
Nadhani ualimu umeenda kusiko hapo kwako Kitaeleweka. Watoto wetu wana kazi hasa miaka hii
 
mmmh!kweli ualimu wito uliondoka toka enzi zileeeee!yaani cha kwanza kufikiri ni fedha!!!

Ikiwa kama mtu ametumia si chini ya milioni 12 (bila gharama ya muda) kama gharama za elimu ya ualimu, je unataka akajitolee sadaka? Je upo tayari kuona mwanao, kaka dada n.k akifanya kazi isiyo na maslahi?. Kuweni na mawazo ya kileo. Mtu anayesema elimu ni wito basi afungue chuo na kufundisha wanachuo bure, kisha aiambie jamii anafanya kazi ya wito.
 
Wadau mtu anichekie jina Godfrey Mbelle ngazi ya cheti walimu wa msingi kapangwa wapi. Nilipo net inasumbua sana.
 
elimu ni wito ndo maana tunasema hata huo mshahara wenyewe hautoshi,by the way hiyo kauli mbiu ya elimu ni wito unaifahamu vizuri!!!!hivi hujui hata volunteers huwa wanalipwa!maslahi huja baada ya kazi huwezi kuanza kufikiria malipo bila kazi!!
 
Naomba mniangalizie jina hili STEWARD MUSHI kapangwa wapi jamani,msaada naomeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…