#COVID19 Fedha za kupambana na UVIKO19: Tenda ya Sept 29 na mwisho wa maombi Sept 30?

Swala si kupeana dili swala ni je watakaokuwa wamepata wataweza kuonesha ufanisi? Na hii ndio single source atakeyewahi na ana uwezo ndio hiyo atapata.
 
Swala si kupeana dili swala ni je watakaokuwa wamepata wataweza kuonesha ufanisi? Na hii ndio single source atakeyewahi na ana uwezo ndio hiyo atapata.
Kwanza ni suala sio swala, alafu unaposema kupeana dili sio suala unakiuka kanuni, sheria na taratibu za tenda na zabuni, rudi kasome tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…