utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Aliyekuwa mtendaji mkuu wetu aliyepita ndugu Barbara alianzisha harambee ya kuchangisha Fedha kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja chetu ambapo mwekezaji wetu alitoa bilioni 2 kama mchango wake binafsi.
Wanasimba wengi tulichanga kwa fujo Fedha ili tuweze kumiliki kiwanja chetu Cha kuchezea mechi zetu mbalimbali.
Sasa ni zaidi ya miaka mitatu hatusikii chochote kutoka kwenye uongozi kuhusu hatma ya Michango yetu, Je ndio kusema Fedha zetu zimeliwa??
Wanasimba wenzangu mbona mmelala? Watu wanatafunaa Fedha zetu nanyinyi mpo kimya tu?
Naomba waziri wa Michezo, Sanaa na utamaduni uingilie kati hili suala maana Fedha zetu zinatuuma
Cc: Aden Rage
Wanasimba wengi tulichanga kwa fujo Fedha ili tuweze kumiliki kiwanja chetu Cha kuchezea mechi zetu mbalimbali.
Sasa ni zaidi ya miaka mitatu hatusikii chochote kutoka kwenye uongozi kuhusu hatma ya Michango yetu, Je ndio kusema Fedha zetu zimeliwa??
Wanasimba wenzangu mbona mmelala? Watu wanatafunaa Fedha zetu nanyinyi mpo kimya tu?
Naomba waziri wa Michezo, Sanaa na utamaduni uingilie kati hili suala maana Fedha zetu zinatuuma
Cc: Aden Rage