Fedhea

mbalaka

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
2,240
Reaction score
2,629
Yule bondia wa Bongo aliyepigwa ngumi moja hadi kuletewa mitungi ya oxygen atutake radhi wa watanzania na Umma wa kiislam kwa ujumla.
serikali imnyang'nye Hati yake ya kusafiria pamoja na adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine.

na promota wake anyang'nywe leseni yake..
kipigo hicho ni fedhea kubwa sana.

Yule dogo(mpigaji) ana miaka 19 na Huyu mpigwaji ana miaka 33 kwa kipigo kile ni aibu na fedhea kubwa sana.

kwanza dogo alipiga alama ya msalaba kabla ya gemu kitu ambacho ni kufuru kabisa. ishara hiyo ndani ya viunga vya Maka na madina ni kufuru kubwa...


haya ni maoni yangu.
ninao uhuru wa kuongea kwa mjibu wa katiba.

***Pusha ni ongeza stik moja niende*.
 
Maneno yanamtoka mtu aliyekalisha limwili lake tu. Hajui lolote kuhusu ngumi

Ingekuwa kila ukikosea unahukumiwa hivyo . Wazaz wako si wangekuwa wameshakuua

Unaweza kukuta Jamaa ni bondia mzur na ameshawah kupiga hata watu wa nje ila hakusifiwa kushindwa mech moja ambayo hata hamjui alifikaje mnajikuta wajuaj

Nahis bongo Ndo nchi inayoongoza kwa wachaw ambao hawana vitendea kaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…