Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,028
dah ...........lol
dah ...........lol
Siku hizi si mabinti tu hata vijana nao wanapenda pochi tu.pole sana yametukuta wengi hupo peke yako ila sie wagumu kwani hadi watoto tuliambiwa wanaumwa kama tulizaa naye mara viatu vinabana yaani ni ushamba tu, jitu zima akili matope kaona namtosa hela kapotea hawa mabinti ukiwachekea watakumaliza kuwa makini sana
No comment..
Naomba laki tano..!!
Sasa na wewe ulikubali vipi kumpa pesa bila kumuona mama yake hujui kama kuna matapeli wa mapenzi? Kakuona kuwa umekuwa teja kwa uzuri wake ndo maana kakufanyia hivyo. We mtu hata hujazoeana nae kihivyo yani zimepita siku tatu tu anakuomba pesa hugutuki? Kaka kama unaangalia uzuri basi msubirie tu ila kama watafuta mke mwema huyo hakufai kwanza hana hata mpango nawe.
pole sana yametukuta wengi hupo peke yako ila sie wagumu kwani hadi watoto tuliambiwa wanaumwa kama tulizaa naye mara viatu vinabana yaani ni ushamba tu, jitu zima akili matope kaona namtosa hela kapotea hawa mabinti ukiwachekea watakumaliza kuwa makini sana
ah ah..! utapeli @ work
Siku hizi si mabinti tu hata vijana nao wanapenda pochi tu.
Ila wewe inaelekea una pesa nyingi na hazina kazi..! Yaani msichana humjui vizuri kurupu kurupu unampa elfu sabini na tano, mara kilo.! Mh.... Ngoja nami niku PM namba yangu ukiipata tuu unitumie LAKI MBILI..!
Kha! sasa kama unayo na mtu kakuambia anashida haina budi kumsaidia, ila kama ile pesa anaitumia kwa mambo mengine tofauti na aliyoombea ndio inakera
Mie, nilimuamini the way hata alivyo jielezea nikajikuta nina mpa. Kwa kuweka thread hii ndio mwisho wake maana najua ameiona hii thread
Muwe mnasoma alama za nyakati .! Siku zote asipate shida aje kupata shida siku mbili baada ya kukufahamu..! Aaaah...