Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,028
Habari zenu wana Jf!
Niliweka tangazo humu la kutafuta girlfriend, siku hiyo hiyo nilimpata.
Tukaonana, bada ya siku tatu akaanza kuomba pesa, siku ya kwanza nilimpa kama elfu sabini na tano, alisema mama ake anaumwa mala ya pili akaomba kilo, leo asubuhi tena kaomba laki tatu. Ukweli kimuonekano ni binti mrembo na ni mzuri kweli yani na anafaa kua mke.
Haya ndio yaliyo nikuta, na watu kama hawa ndio wana haribia wengine hadi tunakua tunaogopana.
Niliweka tangazo humu la kutafuta girlfriend, siku hiyo hiyo nilimpata.
Tukaonana, bada ya siku tatu akaanza kuomba pesa, siku ya kwanza nilimpa kama elfu sabini na tano, alisema mama ake anaumwa mala ya pili akaomba kilo, leo asubuhi tena kaomba laki tatu. Ukweli kimuonekano ni binti mrembo na ni mzuri kweli yani na anafaa kua mke.
Haya ndio yaliyo nikuta, na watu kama hawa ndio wana haribia wengine hadi tunakua tunaogopana.