Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,255
Hivi lakini inakuwaje mpaka mtu unaingizwa king kirahisi namna hiyo?.
muda wangu wa maongezi mbona hujatumaMh! Hunifai mm nilkuwa nataka niku PM , ili tuonane, sasa pesa zote kashikilia mama, sasa itakuwaje,maaana mimi nilikuwa nataka tuonane pale Subway, jioni halafu sitakuomba pesa nyingi ni laki 8 tu, maana nimesimamishwa chuo nataka pesa za kumalizia .
Makubwaaaaaaaaaaaa!!!! Mimi naomba wewe unanipiga mzinga hapo hapo !! Duh!!muda wangu wa maongezi mbona hujatuma
lakini mbu.n.ye si ulipewa??? jamani humu ndani mnanipa raha sana!!pole sana yametukuta wengi hupo peke yako ila sie wagumu kwani hadi watoto tuliambiwa wanaumwa kama tulizaa naye mara viatu vinabana yaani ni ushamba tu, jitu zima akili matope kaona namtosa hela kapotea hawa mabinti ukiwachekea watakumaliza kuwa makini sana
lakini mbu.n.ye si ulipewa??? jamani humu ndani mnanipa raha sana!!
ulipiga mzigo au ndo manyoya
mtu ukiwa unampa pesa au una muhudumia ni lazima ule mzigo?
Ukikubali kula kubali kuliwa pia
Habari zenu wana Jf!
Niliweka tangazo humu la kutafuta girlfriend, siku hiyo hiyo nilimpata.
Tukaonana, bada ya siku tatu akaanza kuomba pesa, siku ya kwanza nilimpa kama elfu sabini na tano, alisema mama ake anaumwa mala ya pili akaomba kilo, leo asubuhi tena kaomba laki tatu. Ukweli kimuonekano ni binti mrembo na ni mzuri kweli yani na anafaa kua mke.
Haya ndio yaliyo nikuta, na watu kama hawa ndio wana haribia wengine hadi tunakua tunaogopana.
Sio kweli, hiyo ni kauli ya wadhaifu but kwa sio gentleman hamna izo makitu.. mie mbona namwaga pesa bila kupewa papuchi na sina shidazo na life linakua tamu babuu
Ukisema wewe domo zege au mistari ya kuimbisha demu imekupitia kushoto hatuta kucheka ni kawaida tu mkuu
Utakomenti vipi wakati ni tabia yako..??!!No comment..
Sio kweli, hiyo ni kauli ya wadhaifu but kwa sio gentleman hamna izo makitu.. mie mbona namwaga pesa bila kupewa papuchi na sina shidazo na life linakua tamu babuu
Utakomenti vipi wakati ni tabia yako..??!!
Una mihela mingi wewe?