Feedback FEEDBACK..!

Hivi lakini inakuwaje mpaka mtu unaingizwa king kirahisi namna hiyo?.
 
Ndugu, yametokea nimejifunza siwezi rudia makosa, ukweli nimeishi mbali na wanawake takribani miaka minne kwa ajiri ya ugumu wa shule sasa hii kete imekula kwangu kha!
Hivi lakini inakuwaje mpaka mtu unaingizwa king kirahisi namna hiyo?.
 
muda wangu wa maongezi mbona hujatuma
 
lakini mbu.n.ye si ulipewa??? jamani humu ndani mnanipa raha sana!!
 
Amekuomba pesa wewe hujaomba king'amuzi?
 
Sio kweli, hiyo ni kauli ya wadhaifu but kwa sio gentleman hamna izo makitu.. mie mbona namwaga pesa bila kupewa papuchi na sina shidazo na life linakua tamu babuu
Ukikubali kula kubali kuliwa pia
 

Mambo ya kweli haya ndugu Ishmael?
 
Last edited by a moderator:
Akirudi kukuomba msamaha upo tayari kumsamehe?
 
Sio kweli, hiyo ni kauli ya wadhaifu but kwa sio gentleman hamna izo makitu.. mie mbona namwaga pesa bila kupewa papuchi na sina shidazo na life linakua tamu babuu

Ukisema wewe domo zege au mistari ya kuimbisha demu imekupitia kushoto hatuta kucheka ni kawaida tu mkuu
 
ah ah ah! Unapo amua kumsaidia mtu msaidie bana sio lazima upige mzigo
Ukisema wewe domo zege au mistari ya kuimbisha demu imekupitia kushoto hatuta kucheka ni kawaida tu mkuu
 
Sio kweli, hiyo ni kauli ya wadhaifu but kwa sio gentleman hamna izo makitu.. mie mbona namwaga pesa bila kupewa papuchi na sina shidazo na life linakua tamu babuu

Una mihela mingi wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…