Feedback FEEDBACK..!

Feedback FEEDBACK..!

Hivi lakini inakuwaje mpaka mtu unaingizwa king kirahisi namna hiyo?.
 
Ndugu, yametokea nimejifunza siwezi rudia makosa, ukweli nimeishi mbali na wanawake takribani miaka minne kwa ajiri ya ugumu wa shule sasa hii kete imekula kwangu kha!
Hivi lakini inakuwaje mpaka mtu unaingizwa king kirahisi namna hiyo?.
 
Mh! Hunifai mm nilkuwa nataka niku PM , ili tuonane, sasa pesa zote kashikilia mama, sasa itakuwaje,maaana mimi nilikuwa nataka tuonane pale Subway, jioni halafu sitakuomba pesa nyingi ni laki 8 tu, maana nimesimamishwa chuo nataka pesa za kumalizia .
muda wangu wa maongezi mbona hujatuma
 
pole sana yametukuta wengi hupo peke yako ila sie wagumu kwani hadi watoto tuliambiwa wanaumwa kama tulizaa naye mara viatu vinabana yaani ni ushamba tu, jitu zima akili matope kaona namtosa hela kapotea hawa mabinti ukiwachekea watakumaliza kuwa makini sana
lakini mbu.n.ye si ulipewa??? jamani humu ndani mnanipa raha sana!!
 
Amekuomba pesa wewe hujaomba king'amuzi?
 
Sio kweli, hiyo ni kauli ya wadhaifu but kwa sio gentleman hamna izo makitu.. mie mbona namwaga pesa bila kupewa papuchi na sina shidazo na life linakua tamu babuu
Ukikubali kula kubali kuliwa pia
 
Habari zenu wana Jf!

Niliweka tangazo humu la kutafuta girlfriend, siku hiyo hiyo nilimpata.

Tukaonana, bada ya siku tatu akaanza kuomba pesa, siku ya kwanza nilimpa kama elfu sabini na tano, alisema mama ake anaumwa mala ya pili akaomba kilo, leo asubuhi tena kaomba laki tatu. Ukweli kimuonekano ni binti mrembo na ni mzuri kweli yani na anafaa kua mke.

Haya ndio yaliyo nikuta, na watu kama hawa ndio wana haribia wengine hadi tunakua tunaogopana.

Mambo ya kweli haya ndugu Ishmael?
 
Last edited by a moderator:
Akirudi kukuomba msamaha upo tayari kumsamehe?
 
Sio kweli, hiyo ni kauli ya wadhaifu but kwa sio gentleman hamna izo makitu.. mie mbona namwaga pesa bila kupewa papuchi na sina shidazo na life linakua tamu babuu

Ukisema wewe domo zege au mistari ya kuimbisha demu imekupitia kushoto hatuta kucheka ni kawaida tu mkuu
 
ah ah ah! Unapo amua kumsaidia mtu msaidie bana sio lazima upige mzigo
Ukisema wewe domo zege au mistari ya kuimbisha demu imekupitia kushoto hatuta kucheka ni kawaida tu mkuu
 
Sio kweli, hiyo ni kauli ya wadhaifu but kwa sio gentleman hamna izo makitu.. mie mbona namwaga pesa bila kupewa papuchi na sina shidazo na life linakua tamu babuu

Una mihela mingi wewe?
 
Back
Top Bottom