Comments nyingi zinam prove right ayanda
Mkia anao?Akaunti unaifunga kwa kuwa umepata ulichotaka, inamaana mkizinguana utafungua akaunti upya. Mpaka hapo wew mwenyewe unaonyesha huna bado huja mature coz JF ilipaswa kuheshimiwa. Hata hao unaowaona walikuwa mizinguo walichangia sana kukufanya uwe na best choice. Rudi kundini tutakupokea na kukufutia ulipoteleza
Natafutwa kusifiwa? ?Sidhani kama uko sahihi kwa mtazamo wangu, huyo ayanda namuona kabisa yeye alilenga kundi fulani katika kutafuta huyo rafiki. Hata hivyo huenda huyo mwanaume akawa yuko serious lakini atambue kabisa kina ayanda wanajiumbia mwanaume kichwani na lengo lao mara nyingi ni kuonekana na kusifiwa na wenzao, kifupi hawafikiriii miaka kadhaa mbele
Sijui unachofoka ni nini haswaSidhani kama kuna seriousness hapa na wabeba box huko ulaya na wachuma Apple na machungwa.
Tumeendelea kuwa na fikra za kitumwa kila sehemu ona hapa eti approach ya kiafrika ni mbaya haina exposure ndio maana itakua ngumu kuwa na uhusiano wa kudumu kwa kutojikubali.
Halafu watu kadigree kamoja viwili tayari ni msomi wakati ameshindwa kuelewa hata umri sahihi wa kuwa na familia wakati wenzako wanaitwa bibi wewe bado unahangaika na kutafuta mchumba bado una factor ya kujiita msomi na exposure unayo.
Elimu ni jinsi tu unaweza kuyatumia mazingira vizuri kufanikisha yako vinginevyo hamna haja ya kusifia vyeti na usomi usio na tija
Ulimbukeni tuUlipoweka tu Ulaya umeanza kuharibu. Ila kila la kheri na ulaya yako.
Wrote twende ulaya ili huyu Dada atuone yupo siriasiiiii[emoji85]Dah mapenzi yanachagua nchi ulaya jamani tubadilikeee
We Dada una matatizo wallahJina lako tu litanifanya hata nisikuangalie mara 2. Sasa dume zima unajisifia u handsome? Inahuuuu