Feedback: Natafuta mchumba

Sikushauri ufunge account ni bora ungeendelea kutoa elimu kwa wengine wajifunze maisha hasa ya ndoa ili wale wenye SIKIO na wasikie wasipite njia mbaya na kuiga mambo mabaya
Once again hongera sana na kila la kheri but don't forget to Pray first in all that you do because there are lots of devil's nets to catch you again
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
"MAN IS A HIDDEN MACHINE"

Chukua huo ujumbe na uweke akilini mwako. Siku maji yakifika shingoni njoo uniulize nilikuwa namaanisha nini?

URAFIKI MWEMA!
 
Comments nyingi zinam prove right ayanda

Sidhani kama uko sahihi kwa mtazamo wangu, huyo ayanda namuona kabisa yeye alilenga kundi fulani katika kutafuta huyo rafiki. Hata hivyo huenda huyo mwanaume akawa yuko serious lakini atambue kabisa kina ayanda wanajiumbia mwanaume kichwani na lengo lao mara nyingi ni kuonekana na kusifiwa na wenzao, kifupi hawafikiriii miaka kadhaa mbele
 
Unasahau kijiko kisa umepata mwiko....
Bila jf ungempata huyo,kuna wenzio pia wanataka sapoti yako humu km ww ulivyopata sapoti ye2....
 
Mkia anao?
 
Pol
Natafutwa kusifiwa? ?
 
Mbona wew umekaa kama mwongo mwongo tu?? Siku si nyingi ulikuwa anaomba ushauri juu ya divorce, sina uhakika kama ulipata au umeamua kutafuta juu kwa juu, sasa hivi unasema uko na 34 years unatafuta mchumba!! Je huyu hapa chini kwa picha si wew??
 
Sidhani kama kuna seriousness hapa na wabeba box huko ulaya na wachuma Apple na machungwa.

Tumeendelea kuwa na fikra za kitumwa kila sehemu ona hapa eti approach ya kiafrika ni mbaya haina exposure ndio maana itakua ngumu kuwa na uhusiano wa kudumu kwa kutojikubali.

Halafu watu kadigree kamoja viwili tayari ni msomi wakati ameshindwa kuelewa hata umri sahihi wa kuwa na familia wakati wenzako wanaitwa bibi wewe bado unahangaika na kutafuta mchumba bado una factor ya kujiita msomi na exposure unayo.

Elimu ni jinsi tu unaweza kuyatumia mazingira vizuri kufanikisha yako vinginevyo hamna haja ya kusifia vyeti na usomi usio na tija
 
Sema unafunga account hii then unafungua mpya acha kutudanganya.

Vinginevyo nakupongeza na nawatakia kila la kheri.
 
Yan uyu ayanda duuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijui unachofoka ni nini haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…