Feedback: Natafuta mchumba

unaleta mazereu enhee kisa sie waswahili poa tu uzur jf ni nyumban utakuja tu ki namna nyengine
 
Uta prove shortly kama vigezo ulivyotumia vinaweza kumleta mume mwema. Unajidanganya sana sisi wanaume tunaweza kujifitisha kwenye unachotaka lakini tukishamaliza mahitaji yetu then tunakuwa real. Tukianza kuwa real utatamani kurudi humu uwatafute wale uliowatukana.
 
we kumbe mlugaluga huyo uliyempata ndio kubwa la maadui,we subiri kama hutakuja umeshika chupi mkononi unalia subiri
 
Mm nahitaji wa hapa hapa mtz kama mm sina haja ya elimu yake ila muhim mtz kama yupo anione tutaongea ninakipato na kaxi yangu sina shaka muhim ni mke kwa sasa. Asnteni
 
Usitukane wakunga uzazi bado ungalipo na usiache mbachao kwa msala ..,...........
 
kuwa mwangalifu wanaume wa ulaya wanatafuta wasaidizi wa maboxπŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•
 
Na siku ukumisalitiwa ulete mrejesho
 
Hongera my kwa ujasiri niwatu wachache wenyekuweza hayo Mimi mwenyew natafuta mwenza wa kufa na kuzikana ila naona aibu kutangaza hahahhaha. Sasa kupitia kwako naomba nitangaza nahitaji mume mwenye upendo wa dhati serious hakuna kuchakachua mpk ndoa hahahhaha awe mwislam au awe tayari kubadili dini tu mengine atajiongeza sio kiben ten kjnachotafuat kulelewa no mwanaume mwenyekujua wajibu wake kwa mke ingawa na Mimi sio MTU wakusubira niletewe yaani ni fighter mzuri milango wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…