Njoo kwangu tupimane vigezoMamboz, nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu jf Muda mrefu kidogo kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious, yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi Basi Ni hajatulia hivi,au tu wabaya hata hatutongozwi , lkn huo mtazamo sio sahihi, tunajitambua Ni vile tu tunaamini mume anaweza pata popote na akawa sahihi Ni mipango tu ya MUNGU mwenyewe.
Mukiona mtu katuma ombi lake muheshimu mawazo yake.
Ni hayo tu narudi kwenye kufunga na kusali ,na kujipenda . Wakati wa MUNGU Ni sahihi.
You are very much missed[emoji3059]Mungu akutangulie kama unamaanisha, akakuongoze vyema kukupatia hitaji la moyo wako.
Meaning??Fake it till you get what you want.
TuongeeMamboz, nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu jf Muda mrefu kidogo kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious, yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi Basi Ni hajatulia hivi,au tu wabaya hata hatutongozwi , lkn huo mtazamo sio sahihi, tunajitambua Ni vile tu tunaamini mume anaweza pata popote na akawa sahihi Ni mipango tu ya MUNGU mwenyewe.
Mukiona mtu katuma ombi lake muheshimu mawazo yake.
Ni hayo tu narudi kwenye kufunga na kusali ,na kujipenda . Wakati wa MUNGU Ni sahihi.
Dah pole dada anguMamboz, nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu jf Muda mrefu kidogo kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious, yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi Basi Ni hajatulia hivi,au tu wabaya hata hatutongozwi , lkn huo mtazamo sio sahihi, tunajitambua Ni vile tu tunaamini mume anaweza pata popote na akawa sahihi Ni mipango tu ya MUNGU mwenyewe.
Mukiona mtu katuma ombi lake muheshimu mawazo yake.
Ni hayo tu narudi kwenye kufunga na kusali ,na kujipenda . Wakati wa MUNGU Ni sahihi.
watu wapo serious inaonekana mnajichanganya nyie wenyeweMamboz, nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu jf Muda mrefu kidogo kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious, yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi Basi Ni hajatulia hivi,au tu wabaya hata hatutongozwi , lkn huo mtazamo sio sahihi, tunajitambua Ni vile tu tunaamini mume anaweza pata popote na akawa sahihi Ni mipango tu ya MUNGU mwenyewe.
Mukiona mtu katuma ombi lake muheshimu mawazo yake.
Ni hayo tu narudi kwenye kufunga na kusali ,na kujipenda . Wakati wa MUNGU Ni sahihi.
Same case.Niliingia pm za watu wawili tofauti siku tofauti walioweka tangazo la kutafuta mume lakini hamna aliyenijibu kati yao tangu siku hiyo wanawake wanaoweka matangazo humu naona tu wamevuruga au wanatarget zao
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sitaki kuonewa huruma, nahitaji upendoUje nikuonee huruma[emoji39]
Sio wote, lkn pia kwa nn munamshangaa mwanamke anayeomba pesa, wakati mwanaume yy ni rahisi kuomba ngono. Jf ni km mji wako watu na tabia zao.watu wapo serious inaonekana mnajichanganya nyie wenyewe
mtu hata kuonana nae hujaonana nae mnataka aanze kutoboka
hapo ndio wengi wenu mnapoenda kichakani
we mtu hujaonana nae utaskia naomba 50 elfu nikanunje gas
sasa hamuoni kama mna haribu?
AmenPole sana kwa changamoto, Mungu akupe haja ya moyo wako.
Sio wote, lkn pia kwa nn munamshangaa mwanamke anayeomba pesa, wakati mwanaume yy ni rahisi kuomba ngono. Jf ni km mji wako watu na tabia zao.
Ni process kweli kupata mtu sahihi lkn MUNGU akitaka unapata
Umepata mume?Mamboz,
Nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu JF muda mrefu kidogo, kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious. Yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi basi ni hajatulia hivi, au tu wabaya hata hatutongozwi, lakini huo mtazamo sio sahihi.
Tunajitambua, ni vile tu tunaamini mume anaweza pata popote na akawa sahihi, ni mipango tu ya Mungu mwenyewe.
Mkiona mtu katuma ombi lake muheshimu mawazo yake.
Ni hayo tu, narudi kwenye kufunga, kusali, na kujipenda.
Wakati wa Mungu ni sahihi.
Haitaji kaka,ni Mume anataka we vipi?