Feedback ya kumtafuta mchumba

Feedback ya kumtafuta mchumba

Mamboz, nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu jf Muda mrefu kidogo kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious, yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi Basi Ni hajatulia hivi,au tu wabaya hata hatutongozwi , lkn huo mtazamo sio sahihi, tunajitambua Ni vile tu tunaamini mume anaweza pata popote na akawa sahihi Ni mipango tu ya MUNGU mwenyewe.
Mukiona mtu katuma ombi lake muheshimu mawazo yake.
Ni hayo tu narudi kwenye kufunga na kusali ,na kujipenda . Wakati wa MUNGU Ni sahihi.
Njoo kwangu tupimane vigezo
 
Mamboz, nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu jf Muda mrefu kidogo kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious, yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi Basi Ni hajatulia hivi,au tu wabaya hata hatutongozwi , lkn huo mtazamo sio sahihi, tunajitambua Ni vile tu tunaamini mume anaweza pata popote na akawa sahihi Ni mipango tu ya MUNGU mwenyewe.
Mukiona mtu katuma ombi lake muheshimu mawazo yake.
Ni hayo tu narudi kwenye kufunga na kusali ,na kujipenda . Wakati wa MUNGU Ni sahihi.
Tuongee
 
Niliingia pm za watu wawili tofauti siku tofauti walioweka tangazo la kutafuta mume lakini hamna aliyenijibu kati yao tangu siku hiyo wanawake wanaoweka matangazo humu naona tu wamevuruga au wanatarget zao

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mamboz, nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu jf Muda mrefu kidogo kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious, yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi Basi Ni hajatulia hivi,au tu wabaya hata hatutongozwi , lkn huo mtazamo sio sahihi, tunajitambua Ni vile tu tunaamini mume anaweza pata popote na akawa sahihi Ni mipango tu ya MUNGU mwenyewe.
Mukiona mtu katuma ombi lake muheshimu mawazo yake.
Ni hayo tu narudi kwenye kufunga na kusali ,na kujipenda . Wakati wa MUNGU Ni sahihi.
Dah pole dada angu
 
Mamboz, nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu jf Muda mrefu kidogo kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious, yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi Basi Ni hajatulia hivi,au tu wabaya hata hatutongozwi , lkn huo mtazamo sio sahihi, tunajitambua Ni vile tu tunaamini mume anaweza pata popote na akawa sahihi Ni mipango tu ya MUNGU mwenyewe.
Mukiona mtu katuma ombi lake muheshimu mawazo yake.
Ni hayo tu narudi kwenye kufunga na kusali ,na kujipenda . Wakati wa MUNGU Ni sahihi.
watu wapo serious inaonekana mnajichanganya nyie wenyewe

mtu hata kuonana nae hujaonana nae mnataka aanze kutoboka

hapo ndio wengi wenu mnapoenda kichakani

we mtu hujaonana nae utaskia naomba 50 elfu nikanunje gas

sasa hamuoni kama mna haribu?
 
watu wapo serious inaonekana mnajichanganya nyie wenyewe

mtu hata kuonana nae hujaonana nae mnataka aanze kutoboka

hapo ndio wengi wenu mnapoenda kichakani

we mtu hujaonana nae utaskia naomba 50 elfu nikanunje gas

sasa hamuoni kama mna haribu?
Sio wote, lkn pia kwa nn munamshangaa mwanamke anayeomba pesa, wakati mwanaume yy ni rahisi kuomba ngono. Jf ni km mji wako watu na tabia zao.
Ni process kweli kupata mtu sahihi lkn MUNGU akitaka unapata
 
Njoo Pm Mimi sihitaji mke personal lakini naweza kukusogeza Sehemu sahihi.maana if ur real wife material, beutiful enough, God fearing and charm plus humble ur welcome kwenye familia ya watakatifu.
Sio wote, lkn pia kwa nn munamshangaa mwanamke anayeomba pesa, wakati mwanaume yy ni rahisi kuomba ngono. Jf ni km mji wako watu na tabia zao.
Ni process kweli kupata mtu sahihi lkn MUNGU akitaka unapata
 
Kimoko cha kutestia mitambo kama ni piru ama hakavu tafadhali
 
Mamboz,

Nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu JF muda mrefu kidogo, kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious. Yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi basi ni hajatulia hivi, au tu wabaya hata hatutongozwi, lakini huo mtazamo sio sahihi.

Tunajitambua, ni vile tu tunaamini mume anaweza pata popote na akawa sahihi, ni mipango tu ya Mungu mwenyewe.

Mkiona mtu katuma ombi lake muheshimu mawazo yake.

Ni hayo tu, narudi kwenye kufunga, kusali, na kujipenda.

Wakati wa Mungu ni sahihi.
Umepata mume?
 
Back
Top Bottom