Fei Toto to Azam deal done? Shaffih Dauda kaandika RASMI dili limekamilika

Fei Toto to Azam deal done? Shaffih Dauda kaandika RASMI dili limekamilika

Yanga wamefanya makosa kumuacha aende kwa kutokubali kumuongezea pesa yake

Value ya Feisal pale Yanga ni kubwa sana lakini kitendo cha kutompambania kumuongezea mshahara wake ni kosa ambalo mtakuja kujirekebisha kwa wachezaji wengine
Jose Luis, Chama mbona mliwaruhusu waende? nyie ndio baadae hua mnakuja kusema Yanga inaua ndoto za wachezaji wakitakiwa na timu inawang'ang'ania na kama ni rahisi unavyo sema Manzoki huyo hapo kamchukueni
 
Ndiyo maana mkaitwa mikia, Bocco alipoenda Azam kiwango chake kilipanda? Ukiwa huna wachezaji sawa na wewe wa kushindana nao, kwenye timu kupata namba, unajikuta kiwango chako kinashuka tu.
Akiwa Yanga anajua lazima aonyeshe kitu kupata namba lah bench litamuhusu.
Azam anaenda kuwa ndiyo star wao, ajibidishe, asijibidishe ana namba yake tayari.
Aja ujinga wa kukariri vitu. Unamzungumzia Bocco yupi? Bocco hakuwa kwenye kiwango Azam? Kama hakuwa na kiwango Simba wangemchukua na kuwaletea ubingwa? Punguza mapepe
 
Huyu Shaffih alishawahi confirm kwamba Mayele kamalizana na Kaizer Chiefs kama una kumbukumbu nzuri.

Si chochotewala si lolote kwenye haya maswala
Mwenzenu anafanya biashara hapo nyie hamjui tu. Ipo hv mchezaji akitaka kuongezewa dau nono lazima amcheki shafii. Shafii anapost kitu kama hiki uongozi onastuka. Lkn kitambo shafii anakuwa alishakula commission yake kutoka kwa mchezaji poleni sana vijana Dar es Salaam watu wanalimia kichwa sio jembe.
 
Jose Luis, Chama mbona mliwaruhusu waende? nyie ndio baadae hua mnakuja kusema Yanga inaua ndoto za wachezaji wakitakiwa na timu inawang'ang'ania na kama ni rahisi unavyo sema Manzoki huyo hapo kamchukueni
Ishu sio kumuacha ishu umempa value gani hapo kwako kutokana na kile anachoku offer uwanjani

Ni kweli Feisal ana worth 4M ukilinganisha na mchango wake kwenye timu anaotoa?

Luis alikuwa anapokea pesa ndefu na pamoja na hilo ilikuwa ni ngumu Simba kuweza kuendelea kubaki naye kulingana na offer waliyokuja nayo Al Ahly

Luis kauzwa zaidi ya Bilion na alipofika kule alilipwa mamilion ya pesa

Sasa nyie Feisal mmempa mkataba wa 100M na mshahara wa 4M halafu mnataka tuwaone mko serious. Mko setious kweli?
 
Ishu sio kumuacha ishu umempa value gani hapo kwako kutokana na kile anachoku offer uwanjani

Ni kweli Feisal ana worth 4M ukilinganisha na mchango wake kwenye timu anaotoa?

Luis alikuwa anapokea pesa ndefu na pamoja na hilo ilikuwa ni ngumu Simba kuweza kuendelea kubaki naye kulingana na offer waliyokuja nayo Al Ahly

Luis kauzwa zaidi ya Bilion na alipofika kule alilipwa mamilion ya pesa

Sasa nyie Feisal mmempa mkataba wa 100M na mshahara wa 4M halafu mnataka tuwaone mko serious. Mko setious kweli?
Maelezo yako ya ambatane na attachments za salary slip , bank statements, any reliable source au mkataba vinginevyo hizo ni porojo za kijiweni
 
Hakuna timu ambayo inaua viwango vya wachezaji kama Azam fc! Timu ina kila kitu!

Viwanja vya mazoezi, gym, mabwawa ya kuogelea, nk lakimi ukiwakuta wachezaji karibia wote wana vitambi! Ni suala tu la muda, yule SOPU aliyetoka Coastal, atakuwa ni historia.

Kama Fei Toto ana akili, bora akaendelea tu kubakia kwenye klabu yake aliyo izoea. Na kama ni suala la maslahi, hilo ni jambo linalo zungumzika. Maana mchango wake kwenye timu unaonekana.

Na kama anataka kubadilisha mazingira, basi atafute timu za nje akacheze. Aache kufuata nyendo za wenzake kama Gadiel Michael na Ibrahim Ajib! Tangu waondoke Yanga kwa kisingizio cha maslahi, wanahangaika tu huko waliko.
 
Feisal alikuwa anastahili kuchukua pesa ndefu sawa na Mayele lakini usikute alikiwa anazidiwa hadi na Lomalisa

Halafu walivyo wajinga nasikia walipanga kuhamasisha mgomo kwa mashabiki kususia bidhaa za Azam endapo Azam itamnunua Feisal

Kama unaona una mchezaji ambaye anathamani kwako basi mpe stahiki zile ambazo zinaendana na kile anacho ku offer uwanjani na sio ule ushabiki wa kusifiana tu "Feidinho mzee wa no look pass" wakati mfukoni hali tete
Unaanza kuita watu wajinga kwa habari za kusikia, uoni kama hapo wewe ni mjinga maradufu.
 
Back
Top Bottom