Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Kwa akili yako aliibukia tu Azam? Kipaji chake kilianzia sehemu mpaka Azam wakamuona. Halafu MBWA mwenyewe sina mood ya matusi, nina mood nzuri na HOLIDAY yangu. Kenge mwenye mkia mfupi weeKweli nyinyi utopolo ni MBWA sasa BOCCO alienda Azam akitokea timu gani?
HAta nikiwa siufahamu wewe inakupunguzia nini? Nachojua Bocco mpira hakuanzia Azam. Alianza Kijitonyama FC na something Cosma kama sijakosea jinaInaonekana Yanga mwenzangu mpira huufahamu. Unashabikia tu. Haya tuambie. Bocco alienda Azam akitokea wapi na kiwango chake kikashuka?😂
Shaffi dauda mzushi.
Jose Luis, Chama mbona mliwaruhusu waende? nyie ndio baadae hua mnakuja kusema Yanga inaua ndoto za wachezaji wakitakiwa na timu inawang'ang'ania na kama ni rahisi unavyo sema Manzoki huyo hapo kamchukueniYanga wamefanya makosa kumuacha aende kwa kutokubali kumuongezea pesa yake
Value ya Feisal pale Yanga ni kubwa sana lakini kitendo cha kutompambania kumuongezea mshahara wake ni kosa ambalo mtakuja kujirekebisha kwa wachezaji wengine
Aja ujinga wa kukariri vitu. Unamzungumzia Bocco yupi? Bocco hakuwa kwenye kiwango Azam? Kama hakuwa na kiwango Simba wangemchukua na kuwaletea ubingwa? Punguza mapepeNdiyo maana mkaitwa mikia, Bocco alipoenda Azam kiwango chake kilipanda? Ukiwa huna wachezaji sawa na wewe wa kushindana nao, kwenye timu kupata namba, unajikuta kiwango chako kinashuka tu.
Akiwa Yanga anajua lazima aonyeshe kitu kupata namba lah bench litamuhusu.
Azam anaenda kuwa ndiyo star wao, ajibidishe, asijibidishe ana namba yake tayari.
Mwenzenu anafanya biashara hapo nyie hamjui tu. Ipo hv mchezaji akitaka kuongezewa dau nono lazima amcheki shafii. Shafii anapost kitu kama hiki uongozi onastuka. Lkn kitambo shafii anakuwa alishakula commission yake kutoka kwa mchezaji poleni sana vijana Dar es Salaam watu wanalimia kichwa sio jembe.Huyu Shaffih alishawahi confirm kwamba Mayele kamalizana na Kaizer Chiefs kama una kumbukumbu nzuri.
Si chochotewala si lolote kwenye haya maswala
Siachi mapepe unatakaje?Aja ujinga wa kariri vitu. Unamzungumzia Bocco yupi? Bocco hakuna kwenye kiwango Azam? Kama hakuwa na kiwango Simba wangemchukua na kuwaletea ubingwa? Punguza mapepe
Ishu sio kumuacha ishu umempa value gani hapo kwako kutokana na kile anachoku offer uwanjaniJose Luis, Chama mbona mliwaruhusu waende? nyie ndio baadae hua mnakuja kusema Yanga inaua ndoto za wachezaji wakitakiwa na timu inawang'ang'ania na kama ni rahisi unavyo sema Manzoki huyo hapo kamchukueni
Haaa haaa mapepe yako sasa, usiyapeperushe humuSiachi mapepe unatakaje?
Unanitukana sawa. Je bank A/C imeongezeka? Au uko hapo ukipiga mihayo tu?Wewe Mwajuma Ndala Ndefu acha kurefusha domo lako mbele ya wanaume.
Wataku-sukumizia li-ukuni matakoni ohooo!!!
Niacheeeee changeni basi mnunue basi mtaniHaaa haaa mapepe yako sasa, usiyapeperushe humu
Umekubali kiutu uzima? Njoo pm nikutumie hela ukanywe chai. Mtu mwenye njaa anakuwa na hasiraNiacheeeee changeni basi mnunue basi mtani
Basi endelea kuchambanaDada ako wewe
unaomba kijanja sema unahitaji kiasi gani? Sina hasira Mkuu nina raha hapa I wish unione.Umekubali kiutu uzima? Njoo pm nikutumie hela ukanywe chai. Mtu mwenye njaa anakuwa na hasira
Simjibu mwache ajifurahishe, huenda ndiyo kitu kinampa furaha maishani.Basi endelea kuchambana
Maelezo yako ya ambatane na attachments za salary slip , bank statements, any reliable source au mkataba vinginevyo hizo ni porojo za kijiweniIshu sio kumuacha ishu umempa value gani hapo kwako kutokana na kile anachoku offer uwanjani
Ni kweli Feisal ana worth 4M ukilinganisha na mchango wake kwenye timu anaotoa?
Luis alikuwa anapokea pesa ndefu na pamoja na hilo ilikuwa ni ngumu Simba kuweza kuendelea kubaki naye kulingana na offer waliyokuja nayo Al Ahly
Luis kauzwa zaidi ya Bilion na alipofika kule alilipwa mamilion ya pesa
Sasa nyie Feisal mmempa mkataba wa 100M na mshahara wa 4M halafu mnataka tuwaone mko serious. Mko setious kweli?
Manara si mzima yule anazuia tetesi duniani kote tetesi zipo ila nguruwe pori hataki tetesi yoyote kuhusu yanga kazi kweli.
Unaanza kuita watu wajinga kwa habari za kusikia, uoni kama hapo wewe ni mjinga maradufu.Feisal alikuwa anastahili kuchukua pesa ndefu sawa na Mayele lakini usikute alikiwa anazidiwa hadi na Lomalisa
Halafu walivyo wajinga nasikia walipanga kuhamasisha mgomo kwa mashabiki kususia bidhaa za Azam endapo Azam itamnunua Feisal
Kama unaona una mchezaji ambaye anathamani kwako basi mpe stahiki zile ambazo zinaendana na kile anacho ku offer uwanjani na sio ule ushabiki wa kusifiana tu "Feidinho mzee wa no look pass" wakati mfukoni hali tete