Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Kama wamwrudisha watampa hadhi sawa na Aziz k?Yanga wamerudisha pesa za Fei na kusema wao wanamtambua kama mchezaji wao
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mkataba wake hausemi hivyo...!?Kama wamwrudisha watampa hadhi sawa na Aziz k?
Ona hata picha basiWeka attachment hapa tuone huo mkataba
Case kama hii haina tofauti na Yahya Abbas huo ni mfano yupo yupo tu.Negotiation power anaweza akawa nayo ila kuna muda haiwezi kuwa na nguvu kama hana backup inayo msapoti endapo wasipofika makubaliano
Mfano akasema wamlipe milion 10 na kabla alikuww analipwa milion 5, halafu akasimama kwenye msimamo wake huo huo
Then Yanga wakasema hatuwezi kukuoa kiasi hicho na tupo tayari kuachana na wewe
Sasa je akitoka hapo huyo Feisal anaweza akachululiwa na Club gani ambayo itamlipa hiyo pesa?
Saizi amekuwa gumzo kwasababu tayari Azam wameonesha nia ya kutoa pesa hiyo na dau la mshahara wake limeonekana. Lakini isingekuwa Azam maana yake huyo alikuwa hana option ya kukataa 4M kwasbabu hana pakwenda
Ukinionesha transction ya Bil 1 kwa MIQUISSONE kutoka Al Ahly, nakuweke muda huu LAKI 5 kwenye SIMU yako.Ishu sio kumuacha ishu umempa value gani hapo kwako kutokana na kile anachoku offer uwanjani
Ni kweli Feisal ana worth 4M ukilinganisha na mchango wake kwenye timu anaotoa?
Luis alikuwa anapokea pesa ndefu na pamoja na hilo ilikuwa ni ngumu Simba kuweza kuendelea kubaki naye kulingana na offer waliyokuja nayo Al Ahly
Luis kauzwa zaidi ya Bilion na alipofika kule alilipwa mamilion ya pesa
Sasa nyie Feisal mmempa mkataba wa 100M na mshahara wa 4M halafu mnataka tuwaone mko serious. Mko setious kweli?
Jamaa Mbona Kama mbabaishaji vile[emoji848]Shafii huyu huyu
Acha uongo bana, hakuna kipindi chochote ambacho Kibudenga aliwahi kuwa bora kumzidi Mayele. Hakipo!Bora kulinganisha na nani?
Sisi tumekuwa tukisema Feisal sio bora ukimlinganisha na Chama kama ambavyo nyinyi mmekuwa mkitaka.
Ni kweli Feisal hana ubora kumzidi Chama, ila kwa pale Yanga, Feisal ni bora kuliko Azizi Ki (ambaye nahakika atakuwa anachukua pesa ndefu kumzidi hata Mayele)
Ishu ya Mayele na Kibu ilikuwa inazungumzia statistics za kipindi hicho na ni kweli Kibu alikuwa bora kuliko Mayele but now he's broke
Hiyo laki 5 kamuongezee Feisal iwe 4.5MUkinionesha transction ya Bil 1 kwa MIQUISSONE kutoka Al Ahly, nakuweke muda huu LAKI 5 kwenye SIMU yako.
Kafatilie huo uziAcha uongo bana, hakuna kipindi chochote ambacho Kibudenga aliwahi kuwa bora kumzidi Mayele. Hakipo!
Pambaneni na matatizo yenu haya mambo yata wachelewesha Youcuba kapona sisi sio nyie wale wa siwezi kuishi bila weweNaskia Uto wametema uji wa mgonjwa huko??
Hatuna matatizo tuna changamoto tuPambaneni na matatizo yenu haya mambo yata wachelewesha Youcuba kapona sisi sio nyie wale wa siwezi kuishi bila wewe
Kumbe Azam FC wanavaa Jezi ya kijani sawaOna hata picha basiView attachment 2456586
Kaongezee mtoe bus lenu garageHiyo laki 5 kamuongezee Feisal iwe 4.5M
Let's say Feisal kaenda Azam FC nyinyi mnanufaika vipi? maana naona hili swala limekua lenuHatuna matatizo tuna changamoto tu
Vyombo vya moto navyo vinahitaji kupewa muda wa kupumzikaKaongezee mtoe bus lenu garage
Nani kakuambia swala la Feisal tunalijadili kwasababu linatunufaisha?Let's say Feisal kaenda Azam FC nyinyi mnanufaika vipi? maana naona hili swala limekua lenu
Huyo ni chiz.i, msamehe bure.Ndiyo maana mkaitwa mikia, Bocco alipoenda Azam kiwango chake kilipanda? Ukiwa huna wachezaji sawa na wewe wa kushindana nao, kwenye timu kupata namba, unajikuta kiwango chako kinashuka tu.
Akiwa Yanga anajua lazima aonyeshe kitu kupata namba lah bench litamuhusu.
Azam anaenda kuwa ndiyo star wao, ajibidishe, asijibidishe ana namba yake tayari.