Fei Toto, Tshabalala na Mbappe hao Mazembe

Huyo mmbape atauzwa kutoka club gani? Au kama tom ulimwengu?
 
Simba tumeanza kuifukuzia saini ya Khama Billiat.
 
mbappe he is ovvarrated
Mbappe ndio nani wa PSG, mchezaji yoyote akianza kuitwa jina sio lake ataishia njiani kama ya kina Singano sijui Messi au Canavaro. tumia jina lako usikubali kuitwa majina ya watu hata huko ulaya ukisikia huyu new Messi basi hana muda atapotea.
 
800M za Bwalya imedhindikana itakuwa huyo bilioni kadhaa!
Mambo yameanza kueleweka kwa upande wetu wana msimbazi, pesa tunayo wewe, KHAMA BILLIAT ndani ya TPL msimu ujao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…