Feisal alisahau Baba na mama wake wako uwanjani

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Feisal ameulizwa ulipofunga uliweka isharaaaa uwanja mzima washike adabu

ndio....

Je, unakumbuka baba na mama walikuwa uwanjan kaanza kucheka hahahaa kwahio wazazi wako nao washike adabuuuuu??
Jibulake

inaendeleeeea
 
Feisal ameulizwa ulipofunga uliweka isharaaaa uwanja mzima washike adabu

ndio....

Je, unakumbuka baba na mama walikuwa uwanjan kaanza kucheka hahahaa kwahio wazazi wako nao washike adabuuuuu??
Jibulake

inaendeleeeea
Weka hiyo ishara mkuu tuone
 
Feisal ameulizwa ulipofunga uliweka isharaaaa uwanja mzima washike adabu

ndio....

Je, unakumbuka baba na mama walikuwa uwanjan kaanza kucheka hahahaa kwahio wazazi wako nao washike adabuuuuu??
Jibulake

inaendeleeeea
Mmeona siku hizi aliugal na sukari mmeanza kumfatafata kwa maneno.
 
Mbona umekimbilia kwa baba n mama? Wakati alikuwepo hadi Eng Hersi bwana wenu. Pia palikuwepo na mashabiki wa YANGA kama ww tu.



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Hakusema uwanja mzima, ila utopolo wote! Mnatafuta namna ya kuondoa aibu ! 🀣 🀣 🀣
Muacheni kijana
Aliwah kusema yy familia yake yote ni Yanga,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…