Feisal alisahau Baba na mama wake wako uwanjani

Feisal alisahau Baba na mama wake wako uwanjani

Mwaka huu mtateseka sana. Lakini poleni mtani
Mnateseka nyie kuliko sisi..yani mateso yenu makubwa ni pale unasubiria shabiki wa Simba ajinyonge au atembee uchi...mnashangaa tunazidi kushinee...tunapendeza tunawakaaa...hahahahaa
 
Mbona yule roporopo wenu aliwaita Simba my wake huku akijua kuwa Baba yake mzazi ni Simba lialia? Wacheni nongwa na huyo dogo jamani.
 
Back
Top Bottom