Sawa kwani mm nimesemaje kaka akee..Lakini ndo mwenye kiatu cha NBC ligi
Mwaka huu mtateseka sana. Lakini poleni mtaniSawa kwani mm nimesemaje kaka akee..
Ujuwe kuna walioanzisha uzi na wala hawakwenda uwanjani..!!Wala sikuangalia mechi, ila nimegundua baada ya kuona waliokerwa wote ni mashabiki wa utopolo, na hata humu wao ndio wanaomuanzishia nyuzi
Ifikie kipindi akubali yaisheAziz K na penat ni kama antibayotike na konyagi...
Cha kushangaza ana goli 3 za penalt katika zile goli 21Aziz K na penat ni kama antibayotike na konyagi...
Mnateseka nyie kuliko sisi..yani mateso yenu makubwa ni pale unasubiria shabiki wa Simba ajinyonge au atembee uchi...mnashangaa tunazidi kushinee...tunapendeza tunawakaaa...hahahahaaMwaka huu mtateseka sana. Lakini poleni mtani