Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Kiungo huyo amechukua kiasi hicho cha pesa ni moja wapo ya kipengele cha mkataba wake na Azam fc kila msimu akifikisha magoli 10 na zaidi atakuwa akipata milioni 90.
kwahiyo tuseme Feisal katika miaka yote mitatu ya kimkataba atalamba milioni 270 kama atafikisha magoli hayo 10,ambapo kwa sasa amesalia na misimu miwili kwahiyo akifikisha magoli 10 ataondoka na milioni 180.
Vile vilabu vinavyomtaka Feisal hapo vipi wataweza kweli au waache tu watafute wachezaji wengine?
kwahiyo tuseme Feisal katika miaka yote mitatu ya kimkataba atalamba milioni 270 kama atafikisha magoli hayo 10,ambapo kwa sasa amesalia na misimu miwili kwahiyo akifikisha magoli 10 ataondoka na milioni 180.
Vile vilabu vinavyomtaka Feisal hapo vipi wataweza kweli au waache tu watafute wachezaji wengine?