Feisal is smart! Deal with big fish

Feisal is smart! Deal with big fish

MTAZAMO

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,675
Reaction score
33,583
Wakuu,

Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]

Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
 
Wakuu,

Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]

Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Endelea kukaa hapo hapo.....mpaka 2024 mkataba utakapotamatika
20230505_152108.jpg
 
Wakuu,

Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]

Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!

Unamsikiliza Fatma mzee baba?
 
Hizi danana za TFF zina mwisho.

Mwanzo Fei alipovunja mkataba, Yanga ilimshtaki kuwa hajafuata uataratibu kwasababu TFF haikutoa idhini, ikiwa TFF lazima ihusishwe kwenye kuvunja mkataba.

Mawakili wa Fei wakadai mkataba ushavunjwa kama amekosea kuvunja apewe haki yake kama kulipa fidia au adhabu.

TFF ikakomaa kuwa mkataba utavunjika tu ikiwa wao watahusishwa na kutoa idhini.

Wakaona isiwe kesi, mawakili wa Fei wakaandika barua kwenda TFF ili kutoa idhini ya kuvunja mkataba.

Matokeo ndio haya ya Sasa [emoji2962][emoji2962]
 
Wakuu,

Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]

Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Ukishiba kande ukalale.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,

Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]

Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Hivi unafatiliaga habari za michezo kweli ? Mbona ukisemacho akipo kabisa au nani kakudanganya wakati fei bado kesi inamwendea vibaya ajui hatma yake
 
Feisal ata aende CAS atarudishwa mlango uleule aliotokea , yaani Dar Young Africa.
Lazima atarudishwa aongee na waajiri wake Ili aweze Kuvunja mkataba.
Ukisema kuongea na waajiri wake unamaanisha kuripoti kambini ambapo hataki kuwepo au unamaanisha kupeleka barua ya kuomba kupewa taratibu za kuvunja mkataba?
 
Ukisema kuongea na waajiri wake unamaanisha kuripoti kambini ambapo hataki kuwepo au unamaanisha kupeleka barua ya kuomba kupewa taratibu za kuvunja mkataba?
Kama barua mbona alishapeleka hii nchi duhh!!!
 
Amijei imekula kwake ,aende jangwani akae mezani na maboss wake wampe terms za kuvunja makataba..."mia inne" inapendeza.... 😀 😀
 
Fatma Karume kaandika wazi, kwenye mkataba wa Fei na Yanga, kipengele namba 14.7 kinaruhusu kuvunjwa mkataba, kama hiki kipengele kipo na utopolo hawajawahi kukanusha, ni wazi TFF wanashirikiana na Yanga kumkandamiza Fei Toto.
 
Wakuu,

Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]

Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Leo unamsifia fatima karume wakati wa Magufuli ulikuwa ukimtukana na kumuita shoga kweli wewe dishi lipo sawa kweli?
 
Aliandika kwenda TFF. Awaandikie Yanga sasa tuone majibu yao. Hahaha
Si aliwaandikia ile ya kwanza, wakasema hakufuata taratibu, TFF haikutoa idhini, wameandikiwa TFF ndio wamejibu walichojibu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wakuu,

Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]

Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Kisheria hakuna mkataba usiovunjika nashindwa kuelewa wanasheria wa yanga walisoma vyuo gani. Mkataba usiokuwa na option ya termination ni mkataba batili.
 
Back
Top Bottom