Wangedai fidia na pia huyo Toto asingeruhusiwa kucheza mpira tena po pote duniani!Tuchukulie mf FEISAL kaamka na kuwaandikia Barua UTO kuwa anaacha kucheza soka, hataki tena! UTO wangefanya nn?
Ona huyu naeYanga itakwenda kumlipa Fei pesa ndefu kama wydad walivyolipishwa kwa msuva...ni suala la muda tu hizo pesa za kuingia nusu fainal watakuja kuzitapika zote kwa fei toto
Huoni huko TFF team Fei imeshangonga mwamba?Rudi #4 nimeelezea vyema
Endelea kukaza fuvuHuoni huko TFF team Fei imeshangonga mwamba?
Kuendelea kudanga TFF atahukumiwa kwa Sheria za FIFA na hizo haziko upande wake.
Yeye kama anataka atoboe aende Mahakama ya Kazi au hivi Mahakama za kawaida.
Na huko sijui kama Serikali itakubali ingawa tunaambiwa Mahakama ni mhimili huru, lakini si dhani kama itakubali nchi isimamishwe uanachama na kuhatarisha kufutwa kabisa. Labda mkafanye lobbing Mahakamani, Mahakama iivimbie Serikali hatimae
tukose SEMI FINAL na FINALI ya kombe mnaloliita la waliofeli.
poa.Endelea kukaza fuvu
asa wakati wazito wanahangaika na fatuma na wewe umekaa pale Fei nae yupo sebuleni anacheza PS Yanga FC wapo CAF huko wanakusanya medali...hii kwa wenye akili tu,mamaeeeWakuu,
Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]
Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Fatuma na wewe mwenyewe hamjielewi kabisaa!Wakuu,
Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]
Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Yanga ni kubwa kuliko karume na hao unaowadhania ni wakubwa... Ukitaka kuamini hili mwambie Bibi kirembwa atie mguu wake Hilo sakata afu wananzengo wakiamshe uone kama hatakimbilia sultan empire...😅😅Ndugu yangu nina mengi basi? Nipo paleee! Fatuma kalibeba hili na Karumes watafanya nini? Kama aliwahi kuwa against CCM wakabaki macho kodo itakuwa Uto timu ya babu? Nipo paleeee [emoji23]
Fatma Karume kaandika wazi, kwenye mkataba wa Fei na Yanga, kipengele namba 14.7 kinaruhusu kuvunjwa mkataba, kama hiki kipengele kipo na utopolo hawajawahi kukanusha, ni wazi TFF wanashirikiana na Yanga kumkandamiza Fei Toto.
Sababu za kuvunja mkataba FIFA ni iwapo mchezaji halipwi na timu yake sio tu akijisikia kuvunja anavunja
Alhaji Rage Alisha lisema hili, Sheria za kazi / Sheria za nchi ni tofauti na Sheria za FIFA.
Kumwandikia mwajiliwako notice ya 24hrs ya Kuvunja mkataba ni Sheria za nchi.
FIFA hawana utaratibu huo na hawawezi luhusu ilo kwakua Ipo siku unaweza Kupoteza mchezaji zaidi ya mmoja Kwa mkupuo.
Ndio maana Rage alimshauri Fisal arudi kuongea na Yanga Ili wafikie muafaka na kuachana bila ugomvi.
Akaongeza kuwa Feisali amfuate yeye amsaidie tatizo alilo nalo.
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani tafrani... Wangemuonyesha kwamba hizi hapa, zifuate.... Wanataka wakajifungie...Wananasema hajafata taratibu ila hawampi hizo taratibu wanataka aende wazungumze.