Feisal is smart! Deal with big fish

Feisal is smart! Deal with big fish

Hapo kwenye tafsiri ya mawasiliano na Yanga ndo pana shangaza.

1. Sioni madhara yoyote ya Fei kutuma mawakili wake Yanga kwenda kuomba taratibu za kuvunja mkataba.

2. Sioni madhara Yanga ikiweka wazi hizo taratibu kwa maandishi na kumpatia Fei bila hata Fei kurudi Yanga.
Madhara ninayoyaona mimi ni huko kuonyesha kiburi kutotaka kijishusha.
Kwani akiripoti kambini na kuendelea na madai yake watamuua?
Aripoti kwanza, kwakuwa hana furaha na timu, kwenye mazoezi apunguze bidii watamruhusu tu.
 
Madhara ninayoyaona mimi ni huko kuonyesha kiburi kutotaka kijishusha.
Kwani akiripoti kambini na kuendelea na madai yake watamuua?
Aripoti kwanza, kwakuwa hana furaha na timu, kwenye mazoezi apunguze bidii watamruhusu tu.
Ofcourse hiyo ni move nzuri ila inawezekana haina maslahi kwake kutegemeana na anachotaka kufanya. Hakuna aibu yoyote kwa Fei kurudi Yanga esp wao Yanga wenyewe wamekuwa wakisema wapo tayari kuboresha maslahi yake ila inawezekana kuna maslahi makubwa yanagombaniwa kati ya Yanga na Fei. Huenda Fei anaitaka signing Fee ya wanaomuhitaji.
 
Hapo kwenye tafsiri ya mawasiliano na Yanga ndo pana shangaza.

1. Sioni madhara yoyote ya Fei kutuma mawakili wake Yanga kwenda kuomba taratibu za kuvunja mkataba.

2. Sioni madhara Yanga ikiweka wazi hizo taratibu kwa maandishi na kumpatia Fei bila hata Fei kurudi Yanga.
Wakati Feisal anasign mkataba wake hakuwa na wakili, angekuwa nao asingefanya haya makosa,amewatafuta baada ya kuona mambo yamekuwa magumu.Kwenye football kuvunja mkataba lazima pande zote mbili (muajiri & muajiriwa) mkutane mjadili jinsi ya kuvunja mkataba na ikiwa mtashindwana pande moja inaweza kwenda FIFA/CAS wakaingilia,Feisal alikosea jinsi alivyotaka kuondoka na hili ndio linamfanya akwepe kwenda kuongea na Yanga
 
Wakuu,

Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]

Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Awe mjanja asiwe mjanja zingine zote porojo. Mwisho wa siku zipo kanuni na sheria za FIFA, hakuna ataeziruka hizo.
Mwenye huruma atamhurumia kwa kuzifata sheria.
 
Wakati Feisal anasign mkataba wake hakuwa na wakili, angekuwa nao asingefanya haya makosa,amewatafuta baada ya kuona mambo yamekuwa magumu.Kwenye football kuvunja mkataba lazima pande zote mbili (muajiri & muajiriwa) mkutane mjadili jinsi ya kuvunja mkataba na ikiwa mtashindwana pande moja inaweza kwenda FIFA/CAS wakaingilia,Feisal alikosea jinsi alivyotaka kuondoka na hili ndio linamfanya akwepe kwenda kuongea na Yanga
Hii ya mkutane mjadili ndio muvunje mkataba ni mutual agreement hiyo lakini kuna nyingine upande mmoja tu unaweza vunja pawepo na sababu au kusiwepo na sababu na kama hamna sababu fidia na adhabu zinahusika
 
Yanga mbona hamsemi
Mlimfanya nini Fei hadi hawataki namna hii?

Wengi wanamuangalia fei lakini mimi naiangalia Yanga.
Mfanyakazi wenu fei hawezi from no where aichukie Yanga kiasi hiki wakati alikataa kuja Simba kwa kuipenda Yanga.

Pili kama mchezaji amewachukia kiasi hiki mwacheni aende na mtozeni faini zilizo kwenye Mkataba.
Wenzenu Simba mbona huwa wanawaacha tu wachezaji walio ishiwa mapenzi na timu kama Dejani.

Yanga sio bure kuna shida mahali.
Simba ni taasisi ina maamuzi yake na Yanga ni taasisi ina maamuzi yake
 
Inaonekana hayo masharti ni siri nzito sana ambayo hata kwenye maandishi haitakiwi kuwepo bali ni masikio ya Fei tu ndo yanapaswa kuisikia ndani ya ofisi za Yanga hivyo anatakiwa aende.
Okay Feisal alisema amevumilia manyanyaso akaulizwa akasema hawezi kuyataja ila unataka Yanga itaje si ndio?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hii ya mkutane mjadili ndio muvunje mkataba ni mutual agreement hiyo lakini kuna nyingine upande mmoja tu unaweza vunja pawepo na sababu au kusiwepo na sababu na kama hamna sababu fidia na adhabu zinahusika

Tupe mifano ya hicho unachokisema
 
Ofcourse hiyo ni move nzuri ila inawezekana haina maslahi kwake kutegemeana na anachotaka kufanya. Hakuna aibu yoyote kwa Fei kurudi Yanga esp wao Yanga wenyewe wamekuwa wakisema wapo tayari kuboresha maslahi yake ila inawezekana kuna maslahi makubwa yanagombaniwa kati ya Yanga na Fei. Huenda Fei anaitaka signing Fee ya wanaomuhitaji.
Shida inakuja hiyo signing fee anayoitaka itazidi kuchelewa akiendelea kukaza shingo au asiipate kwa kiasi anachokitarajia kwa sababu ya kushuka kiwango.
Any way maamuzi ni yake, "akili kumkichwa"
 
Back
Top Bottom