mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Halafu mchezaji mwenyewe wa kawaida sana!! Ni kama makapi fulani hivi!!Feisal sio Yanga wala Yanga sio Feisal, kwanini mnapata tabu nyie na sio sisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mchezaji mwenyewe wa kawaida sana!! Ni kama makapi fulani hivi!!Feisal sio Yanga wala Yanga sio Feisal, kwanini mnapata tabu nyie na sio sisi?
Walikua wapi wakati wana achwa!Mliwaacha Point 10 wakati Fei yupo, sasa zimebaki 6 na mshaanza ushindi wa moja moja soon mtaanza fululiza draw.
Muda utaongea..
Tawi letu ni SimbaWaliotoa tamko hilo sio wazee, ni viongozi wa matawi. Katiba ya Yanga haiwatambui viongozi wa matawi pia?
Toka Fei aondoke Yanga kacheza mechi 2 tu Azam na Mtibwa na kashinda zote sasa points zipi alizopoteza!Mliwaacha Point 10 wakati Fei yupo, sasa zimebaki 6 na mshaanza ushindi wa moja moja soon mtaanza fululiza draw.
Muda utaongea..
Unamuelewa vizuri mtoa mada? Anachangamsha tu kijiwe.Kawapa na haya ya kujikinga na mabalaa yao.
sijaelewa bado,inamaana Azam wamechukua mali wakaiuza nje au vipi?
Lengo la watu wengi ni kusonga mbele kiuchumi, sifa za kijinga hazina nafasi wakati hauna helaKama kaenda nje basi katumia akili, lakini ingekuwa Azam kama ilivyokuwa awali ingekuwa ni hatua nyingi mbele kiuchumi na hatua nyingi nyuma kiufundi
😎😎Unamuelewa vizuri mtoa mada? Anachangamsha tu kijiwe.
Yamekuwa haya tenaFeisal sio Yanga wala Yanga sio Feisal, kwanini mnapata tabu nyie na sio sisi?
Tangu Feisal kaondoka tumepungukiwa nini?Yamekuwa haya tena