Nakazia.Usije kuruhusu kukaa kimya pale ambapo unaona haki yako inaporwa, USITHUBUTU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nisiseme sana, ngoja sakata lake likiisha ntaumwagaaa waziii.Kwamba fei alitakiwa atoe nyuma au [emoji23][emoji23][emoji1787]
Ya kunyanyaswa na yangaUsije kuruhusu kukaa kimya pale ambapo unaona haki yako inaporwa, USITHUBUTU
Inawezekana ni makafara ya watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nisiseme sana, ngoja sakata lake likiisha ntaumwagaaa waziii.
Kuinamishwa na mtu huna hisia nae, wee kuwezaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliInawezekana ni makafara ya watu
Wiki Sasa Kati ya mil.60 amepata 9. Hizo 400m atazipata baada ya Muda gani?Fei anasema hakuna timu inamtaka, tena sasa hivi ndo kabisaa hakuna timu sababu ya mgogoro wa kimkataba. Sasa hiyo pesa ambayo Yanga wanaitaka kutoka katika hiyo timu kwanini wasimueleze Fei ili achangiwe? Maana anasema yupo tayari kwa hilo, na wachangaji wengine wapo humo humo Yanga.
Anasema atachangiwa na rafiki zake ndani ya Yanga na wengine. Wale waliomchangia alipe ile m100.Wiki Sasa Kati ya mil.60 amepata 9. Hizo 400m atazipata baada ya Muda gani?
Halafu Feisal anajua kusoma, amekuwa captain wa Yanga hata Mechi za kimataifa, Leo darasa la 6 ashindwe kutofautisha Kati ya Two na Three?
Mpaka wamjue mchawi ni nani...Kazi ipo.
Binafsi naona hili sakata litawashushia baadhi ya watu heshima.
Sioni sababu yoyote kwann Yanga wasimpige faini na kumfukuza na akigoma kulipa wamshtaki. Inakuwa kama wana ugomvi wa kimapenzi wakati ni ajira na maslahi.
Hujambo....hivi Isidingo iliisha eti...[emoji3]fei anazidi kujiharibia tu
NAKAZIA tenaNakazia
Nani anataka marinda ya naniHii vita bado mbichi.
Manara kapost sauti za yule meneja mchochezi yasmin zumaridi, akimwelekeza feitoto cha kusema. Huku feitoto Anasema ananyanyaswa na hersi na gsm.
Wengine wanadai ishu sio hela, ishu marinda.
Acha inyeshe tujue panapovuja.
Fafanua namba mbiliIla Huku kwenye vijiwe vya kahawa kuna stori mbili.
1. Feitoto inaonekana alijua mishahara ya wachezaji toka nje hata ambao wanasugua benchi wote mishahara inaanzia $5000 na zaidi hata wanaosugua benchi wanalipwa hivyo wengine mpaka $7000-$10,000. Sasa Eng hersi akamwambia feitoto kuwa watamuongezea mshahara kumbe mkataba mpya hawakumuongezea, kama walimtapeli akaishia kwenye milioni 4. Kwa hiyo feitoto akamaindi utapeli wa gsm na hersi. Si unajua kibongobongo wazawa wanadharaulika kimalipo sio kimpira tu ni sekta zote wazawa wanadharaulika 🤣🤣🤣. Kwahiyo Yanga wamekaza kumuachia mpaka wapewe hela na timu inayomtaka.
2. Marinda dimpoz
Yanga HAWAMTAKI.Atanyamazaje?
Hersi na akina kalikonji si wangekaa kimya wao kwanza...?
Atoe ya moyoni nafsi yake itulie! Ameshasema yanga hawezi kurudi, fullstop!!
Hujambo....hivi Isidingo iliisha eti...[emoji3]
Sahih kbsaHahaha. Mange haaminiki hawezi kuwa reliable source ya ukweli. Kinachotakiwa ni Yanga kuachana na Fei. Wampe adhabu, alipe kisha wamuondoe.
[emoji23][emoji23][emoji23] mwanangu carrasco putinTusijisahaulishe
UTO 1
USM 2
[emoji23][emoji23][emoji23] mwanangu carrasco putin
Inaonesha huipendi utopolo from your heart
Wewe ukishikwa shikwa matterko na wahuni utanyamaza???Chutama mdogo wetu na usitafute huruma sisi Simba tuonekane tunakutaka. Pambana na hali yako na jinsi unavyozidi kuongea unazidi kuharibu tu.
Busara kunyamaza ili usiendelee kuharibu huku mtaani. Kiburi hakitakusaidia.
Tatizo wanajua kabisa kwa nini Feisal ana kiburi,huenda yeye ndiyo ana codes za hatari akiamua kuzifungua kwa uwazi zaidi watu watatafutana.Wamwache kijana wa watu aende zake kwa amani na awalipe stahiki zao kuliko kukaza mishipa ya shingo mwisho wakaishia kudharirika.Kazi ipo.
Binafsi naona hili sakata litawashushia baadhi ya watu heshima.
Sioni sababu yoyote kwann Yanga wasimpige faini na kumfukuza na akigoma kulipa wamshtaki. Inakuwa kama wana ugomvi wa kimapenzi wakati ni ajira na maslahi.