Tetesi: Feisal Salum (Fei Toto) kuhamia Azam

Tetesi: Feisal Salum (Fei Toto) kuhamia Azam

A real bad investment for Azam . Huyu dogo aludi Tena kwenye peak . Sema they should be cautious
 
Naunga hii hoja yako.
Maana kibongo bongo, Timu zenye unafuu na zenye kumfanya ajitangaze kimataifa na akue zaidi ni hizo mbili.
Japo pia Azamu lakin hapo Azamu sio pa kuongelea sana tunapajua.

Ngoja tusubiri tuone itaishaje
 
Maana kibongo bongo, Timu zenye unafuu na zenye kumfanya ajitangaze kimataifa na akue zaidi ni hizo mbili.
Japo pia Azamu lakin hapo Azamu sio pa kuongelea sana tunapajua.

Ngoja tusubiri tuone itaishaje
Sure!! Kwasasa Prosperous yake kwa Tz ipo Kati ya Hivyo vilabu viwili.
 
Ikiwa dhamira ya Fei Toto ni kujikwamua kimaslahi basi kafanya maamuzi sahihi kwenda Azam. Maana nina hakika watamlipa vizuri, ila atambue umaarufu/uwezo wake kimpira ndio umefika kikomo. Asitarajie kukuwa zaidi ya pale alipofikia akiwa Yanga.
 
Ni swala la muda tu Yanga watatangaza kumalizana na Fei Toto na Azam kutangaza kumsajili.

Nyumba atakayokwenda kukaa ipo katika hatua za mwisho za Furnishing. Nyumba ipo Oysterbay karibu na kwa makamo wa raisi.

Hatimae dogo ataenda kulala akipulizwa na kipupwe cha indian ocean.
wachezaji wa Azam wanaishi mbande, kiponza, mipeko, rufu, mbanga kwaru, machimbo, kama nyumba inajengwa moja ya maeneo tajwa ntaamini.
 
wachezaji wa Azam wanaishi mbande, kiponza, mipeko, rufu, mbanga kwaru, machimbo, kama nyumba inajengwa moja ya maeneo tajwa ntaamini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba wachezaji wa Azam wanaishi huko Temeke tyuuh?? Hapanaaa
 
Back
Top Bottom