Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

Yap. Umeongea point. Yanga waweke wazi wanataka Tsh ngapi na kwanini. Hapo ndo ujinga wa Fei utapimwa au uonevu wa Yanga utaonekana.

Mke akisema hakutaki ndio faida maana unanufaika hakuna mgao wa mali zako.
Sasa Uto waseme toka wamemnunua na kumkuza bei yake ni kadhaa na fee ya kuvunja mkataba ni kadhaa, dogo akae na club inayomtaka wampe hela awalipe Uto basi aendelee na mpira wake.

Wajifunze kwa Florentino Perez raisi wa Madrid, timu inamtaka mchezaji mkataba bado linawekwa dau mkwanja unalipwa wanamwachia wanasajili makinda wengine wakali kwa nusu ya faida.
Kusema arudi kambini mtu ambaye hawataki itakuja kuwagharimu badae kwenye ku "deriver" ataperfom chini ya kiwango na bei yake itashuka watamuuza kwa hasara.

Najiuliza sana, ina maana Uto kwenye mikataba yao hakuna kipengele "Clause" kama ikitokea Mchezaji au Timu unavunja mkataba suluhu yake ni nini?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mke akisema hakutaki ndio faida maana unanufaika hakuna mgao wa mali zako. Sasa huyo Uto waseme toka wamemnunua na kumkuza bei yake ni kadhaa na fee ya kuvunja mkataba ni kadhaa, dogo akae na club inayomtaka wampe hela awalipe Uto basi aendelee na mpira wake. Wajifunze kwa Florentino Perez raisi wa Madrid, timu inamtaka mchezaji mkataba bado linawekwa dau mkwanja unalipwa wanamwachia wanasajili makinda wengine wakali kwa nusu ya faida.
Kusema arudi kambini mtu ambaye hawataki itakuja kuwagharimu badae kwenye ku "deriver" ataperfom chini ya kiwango na bei yake itashuka watamuuza kwa hasara.
Kabisa mkuu.
 
Mke akisema hakutaki ndio faida maana unanufaika hakuna mgao wa mali zako.
Sasa Uto waseme toka wamemnunua na kumkuza bei yake ni kadhaa na fee ya kuvunja mkataba ni kadhaa, dogo akae na club inayomtaka wampe hela awalipe Uto basi aendelee na mpira wake.

Wajifunze kwa Florentino Perez raisi wa Madrid, timu inamtaka mchezaji mkataba bado linawekwa dau mkwanja unalipwa wanamwachia wanasajili makinda wengine wakali kwa nusu ya faida.
Kusema arudi kambini mtu ambaye hawataki itakuja kuwagharimu badae kwenye ku "deriver" ataperfom chini ya kiwango na bei yake itashuka watamuuza kwa hasara.

Najiuliza sana, ina maana Uto kwenye mikataba yao hakuna kipengele "Clause" kama ikitokea Mchezaji au Timu unavunja mkataba suluhu yake ni nini?
Mkataba hauvunjwi kama kuni
 
Mkataba hauvunjwi kama kuni
Hakuna mkataba usiovunjwa boss. Kwa hatua aliyofikia Fei leo anawalazimisha Uto kuvunja mkataba ndio maana Uto wameleta option ya wito kwa wanaomtaka wajitokeze. Uto waweke dau wapewe hela.
 
Mkataba hauvunjwi kama kuni
Utavunjika iwapo Fei ataendelea kushinikiza.

Fei anachofanya ni kuwalazimisha waseme hizo taratibu za kuuvunja kwa kupeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba na Yanga.

Yanga nao wanajaribu kuhakikisha Fei anarudi kambini, na wapo tayari kuboresha maslahi pamoja na yoote aliyoyafanya ikiwemo kutokuwepo kambini kwa miezi 3.(UTORO), kwa kawaida utoro ni kosa la kumundoa kikosini iwapo Yanga ingekuwa haimuhitaji.

BINAFSI NAONA SI SAWA YANGA KUENDELEA KUJIBIZANA NA FEI IWAPO HATARIPOTI KAMBINI:

Walipaswa wamfukuze, ingeleta heshima kwa club kuliko kumlazimisha arudi kikosini au kumpa mkataba mpya.

Ngoja tuone iwapo hataripoti watafanya nini na iwapo ataripoti watafanya nini.
 
Utavunjika iwapo Fei ataendelea kushinikiza.

Fei anachofanya ni kuwalazimisha waseme hizo taratibu za kuuvunja kwa kupeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba na Yanga.

Yanga nao wanajaribu kuhakikisha Fei anarudi kambini, na wapo tayari kuboresha maslahi pamoja na yoote aliyoyafanya ikiwemo kutokuwepo kambini kwa miezi 3.(UTORO), kwa kawaida utoro ni kosa la kumundoa kikosini iwapo Yanga ingekuwa haimuhitaji.

BINAFSI NAONA SI SAWA YANGA KUENDELEA KUJIBIZANA NA FEI IWAPO HATARIPOTI KAMBINI:

Walipaswa wamfukuze, ingeleta heshima kwa club kuliko kumlazimisha arudi kikosini au kumpa mkataba mpya.

Ngoja tuone iwapo hataripoti watafanya nini na iwapo ataripoti watafanya nini.
Wamfukuze aondoke bure? Yanga wanataka kumtia adabu hayo maneno kwenye press release ni kutuliza atmosphere ila huko ndani ni moto
 
Wamfukuze aondoke bure? Yanga wanataka kumtia adabu hayo maneno kwenye press release ni kutuliza atmosphere ila huko ndani ni moto
Club kubwa kama Yanga? Sidhani, nadhani Yanga wanajaribu kutengenez fedha kupitia kuondoka kwake, Mambo ya kumkomoa mchezaji ni ya mashabiki ambao soka kwao ni ibada. Club inawaza mapato.
 
Kwa mujibu wa sheria ya FIFA mchezaji atayevunja mkataba kiholela lazima awajibishwe kwa faini na kufungiwa

Na baada ya hayo hawezi kuendelea kuhudumu kwenye Club hiyo kwasababu mkataba ulishavunjika
Sasa Feisal amevunja mkataba?????? Kama ndio huko TFF amepeleka barua ya mahari yako??
 
Sasa Feisal amevunja mkataba?????? Kama ndio huko TFF amepeleka barua ya mahari yako??
People like you, are the reason we have middle fingers.

Unaelewa madai yaliyowasilishwa na Club kuhusu Feisal yali demand nini?

Au unaandika tu uonekane na wewe kuna kitu umechangia?

Yanga ilipeleka madai mahakamani kuwa Feisal amevunja mkataba kinyume na sheria

Katika article ya 4.1 ya sheria za fifa kuhusu termination of contract zinasema upande wowote utaovunja mkataba iwe kwa kufata sheria au kwa kukiuka sheria, mkataba huo utahesabika kuwa umevunjika.

Utofauti unakuja kwenye consequences ya hizo termination, kuwa aliyevunja kinyume na sheria lazima awajibishwe kwa kulipa faini ya pesa pamoja na adhabu ha kufungiwa.
 
Msuva hakukaa kuzungumza na Raja, alitimka na akashinda kesi
FYI:Msuva alikuwa mchezaji wa Wydad Casablanca sio Raja
Wydad hawakumlipa Msuva signing fee yake baada ya kusajiliwa,Feisal alilipwa kila kitu na mshahara wake mpaka leo analipwa
 
People like you, are the reason we have middle fingers.

Unaelewa madai yaliyowasilishwa na Club kuhusu Feisal yali demand nini?

Au unaandika tu uonekane na wewe kuna kitu umechangia?

Yanga ilipeleka madai mahakamani kuwa Feisal amevunja mkataba kinyume na sheria

Katika article ya 4.1 ya sheria za fifa kuhusu termination of contract zinasema upande wowote utaovunja mkataba iwe kwa kufata sheria au kwa kukiuka sheria, mkataba huo utahesabika kuwa umevunjika.

Utofauti unakuja kwenye consequences ya hizo termination, kuwa aliyevunja kinyume na sheria lazima awajibishwe kwa kulipa faini ya pesa pamoja na adhabu ha kufungiwa.
Acha kudanganya watu Yanga hawajawahi kumpeleka Feisal mahakamani
 
Scars
Kuna jambo ambalo wengi hawalielewi au wanajiondoa ufahamu kwa personal interest..

Release clause haisomeki kama mmoja hajavunja vifungu vya mkataba..Hapo kwa Feisal ni Yanga kutaja current value ya Feisal maana Yanga haijavunja vifungu vya mkataba.

FIFA sio wajinga,ingekuwa mchezaji anaweza kuvunja mkataba kiholela Club nyingi hasa ndogo zingedhurumiwa.

Ndugu zangu Club zina invest kwa Wachezaji,inawezekana wakati wa kumsajili alikuwa wa kawaida, kutokana na club ku invest through training facilities,chakula bora, coaching team, plus others mchezaji kiwango kikapanda, Mchezaji hawezi kuachiwa kwa release clause, itaangaliwa current value..Na hii imefanyika kwa Wachezaji wengi tuu Duniani walipotaka kuhama team baada ya kiwango kupanda sana..
Hizi team Biashara kubwa ni kuuza products ambazo ni Wachezaji na FIFA wanazingatia sana katika kuupa mpira thamani

Wajinga Waliojificha Muda huu walimpa Milioni 112 Fei Kwamba aweke kwenye Account ya Yanga ati ndio atakuwa amenunua Mkataba!...Yaani Ni sawa na Mchaga Anunue Kirikuu Milioni 6 Halafu aki-pimp, Tairi Mpya, seat cover Mpya, Oil n.k halafu auze Ile Ile Milioni 6 , How?
 
Back
Top Bottom