Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

Utaratibu gani huo ambao unatakiwa kufuatwa?
Wewe unadhani kama utaratibu umefuatwa kwanini kwenye kesi kaambiwa bado ni mchezaji halali wa Yanga? Na kama kaona kuna uonevu kwenye hukumu kwanini hataki kwenda CAS badala yake kaandika tena barua kwenda TFF kuomba kuvunja mkataba na Yanga?
 
Aambiwe huo utaratibu aondoke zake. Huu utaratibu mbona ni siri kubwa hivi? Kama alikosea si anaambiwa alipokosea na ni nn cha kufanya? asahihishwe kwa kuambiwa ni nn afanye aondoke. Kila siku utaratibu, utaratibu mchezaji hataki kuwepo kikosini. Yanga imwambie wazi, ukitaka kuondoka fanya A,B,C vile ulivyofanya sio sawa kwa sababu A,B,C.

Sasa Huko TFF Anaenda Kufanya Nn??, Si Aende Yanga Wakamwambie Nn Cha Kufanya Kwani Mkataba Aliingia Na TFF Au Ni Yanga?
 
Ety raja??? Duuuuuuuuhh Kama hujui kitu Bora ukatulia TU
Umeelewa lakini, endelezea hapo utoe Raja uweke Wydad. Si unajua Raja ametujeruhi 3-0 na 6-0 ? 🤣
 
Muda wa kumuacha huyu kijana ndo sasa....zile hela wachukue..
Kwa ilivyofikia hawezi kurudi akawa na amani..
Jamani eeeh hata sisi hatutaki arudi yena mtuelewe. Kinacho amgaliwa hapa ni mkataba wake na taratibu za uvunjaji wa mkataba.

Timu ni kubwa kuliko mchezaji, Yanga haiwezi kumng'ang'ania mchezaji ambaye hana mapenzi na moyo wa kuitumikia nembo.
 
Wewe unadhani kama utaratibu umefuatwa kwanini kwenye kesi kaambiwa bado ni mchezaji halali wa Yanga? Na kama kaona kuna uonevu kwenye hukumu kwanini hataki kwenda CAS badala yake kaandika tena barua kwenda TFF kuomba kuvunja mkataba na Yanga?
Akijibu hii unitag.
 
Mawakili wanapiga tu pesa ya signing fee ya feitoto

Hakika feitoto ni mtoto mpaka hii ishu inaisha akili yake itakuwa imepata funzo na hatoridia tena kufanya utoto wake sehemu nyingine
 
Huyo Dejan hata nyie mlishukuru kuondoka kwake maana ni mzigo.
Mlete mzunguuuu 🤣😂🤣😂

Hata Yanga wanajizima data tu sasa hivi ila watapata ahueni wakilimaliza hili haraka. Kuna mtu kuna uzi ameuliza, Yanga anafaidika nini kwa kumng'ang'ania Feisal? Jibu ni hakuna faida.
 
Yani mutual agreement sio necessary as per wakili wa kwenye Sports HQ na wewe ukalibeba kama lilivyo???

Kwa taarifa yako hicho ni moja ya kipengele kilichomsababisha Faisal arudi nyumbani akiwa analia baada ya maamuzi halali ya TFF.
Aliweka na sababu ambayo iko supported kisheria, mi tu nimesahau ila kama ukisikiliza utanielewa
 
Yanga buana [emoji5][emoji5][emoji5]

Kwanini wasimuache aende!? Au ndio Ile roho mbaya ya tukose wote[emoji15]
Yanga imefanya nini hapo nyie mbona mna vichwa vigumu hivyo? Toka hili sakata lianze anayehangaika kwenye maofisi ni nani?
 
Yanga wana ujinga sana, kama mtu hakutaki ya nini? Ona Simba ilivyomkaushia mzungu Dejan
 
Back
Top Bottom