Feisal Salum Hawezi Kurudi Kwenye Ubora Wake Tena.

Tunaambiwa kapombe akiwa taifa stars anakuwa faza! Hajitumi
 
Mpiga ramli wa utopolo akiwa kazini.
 
 
Kina lomalisa mlitaka wapewe muda ila feisal mnampigia ramli, kama amekuumiza chomoa kapata muda kidogo ila amecheza kwa kutulia.
 
Naona umeandika kwa furaha na bashasha Sana kiwango Cha kijana kushuka..
 
Sawa Mungu
 
Steve Nyerere yule actor wa mchongo aliwahi kusema Omary Nyembo a.k.a Ommy dimpoz poz kwa poz hatoimba tena kwasababu koo lake lina hitilafu..
Gafla bina vuu kijana akaibuka na kibao kipya na kumwacha mzeekijana mdomo wazi.

Sasa wewe ni watu aina ya mzeekijan, lopolopo, dakika 13 zimetosha kuhitimisha hatma ya Feisal, dakika 13 zimetosha kukuonesha kua dogo hawezi KAMWE...

Jitafakari, chukua hatua...
 
Hilo huwa ni kawaida kwa mchezaji yeyote anapo kaa nje ya pich kwa muda mrefu akicheza mechi mbili anarudi kwenye hali ya kawaida.
Sawa Mkuu, sasa yeye hataki kurudi Yanga na wala kutafuta timu nyingine ili asajiliwe na aendeleze kipaji chake, sasa atarudije kwenye form? Ifike mahali naye ajitambue awaambie wanaomtaka wakae mezani na Yanga ili akamilishe dili lake la kuihama Yanga halafu aendelee na kuboresha kiwango chake.
 
awaambie wanaomtaka wakae mezani na Yanga ili akamilishe dili lake la kuihama Yanga halafu aendelee na kuboresha kiwango chake.

Unakitu ndani Yako [emoji122]

CC. Simba Fans
CC. Wachambuzi wafitinishaji wa wachezaji na timu zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…