Feisal Salum Hawezi Kurudi Kwenye Ubora Wake Tena.

Feisal Salum Hawezi Kurudi Kwenye Ubora Wake Tena.

Nilichogundua Mwalimu anataka timu iwe ngumu sana kwenye kuzuia yani kusiwe na mtu mvivu na anapenda mabeki wote wawe wanaruka kusaidia kuokoa mipira ya vichwa, viungo wa shoka wanaoweza kugongana muda wote,
.

ila bado nahisi Shomary Kapombe ana umuhimu sikwamba Job amecheza vibaya la hasha nikua kunahitajika mtu ambae yuko comfortable na eneo lake ili kutengeneza balance nzuri ya timu.
Tunaambiwa kapombe akiwa taifa stars anakuwa faza! Hajitumi
 
Nilichogundua Mwalimu anataka timu iwe ngumu sana kwenye kuzuia yani kusiwe na mtu mvivu na anapenda mabeki wote wawe wanaruka kusaidia kuokoa mipira ya vichwa, viungo wa shoka wanaoweza kugongana muda wote,
.

ila bado nahisi Shomary Kapombe ana umuhimu sikwamba Job amecheza vibaya la hasha nikua kunahitajika mtu ambae yuko comfortable na eneo lake ili kutengeneza balance nzuri ya timu.
 
Kina lomalisa mlitaka wapewe muda ila feisal mnampigia ramli, kama amekuumiza chomoa kapata muda kidogo ila amecheza kwa kutulia.
 
Leo nimepata fursa ya kushuhudia huyu Kijana akicheza dakika zake 13 hapa Misri.

Kwa jicho langu la kiufundi huyu dogo ili acheze vizuri anahitaji hamasa sana hasa kutoka kwa mashabiki. Pia ni aina ya wachezaji wanaopenda kuzungumzwa ili afanye vyema kiwanjani.

Huyu dogo kamwe hatoweza kurudi katka ubora wake hata acheze timu yeyote ile hapa Afrika, labda akipata fursa ya kicheza mpira nje ya nchi ndipo atapata fursa ya kunolewa upya.

Yaani ni aina ya wachezaji kama Chama. Ili afanye vyema ni lazima mashabiki na waandishi wa habari wamsifie na kumzungumza kila wakati.


Licha. Ya fitness routine alizokuwa akifanya kipindi hayuko kambini na timu yake Yanga SC, bado anaonekana kuna kitu anakosa.

Unaweza ukamsaidia arudishe fitness yake ila ni ngumu saana kurudisha psychology yake ktk njia sahihi.

Dogo keshapotea.

Hata national team call up ilikuwa ni kwasabbu ya yule mpemba morroco aliyependekeza jina lake kwasababu za kiuzanzibar tu...Hakuna kocha mwenye leseni iliyo shiba anaweza muita feisal.

Kipaji kimepotea, ila kama taifa yatupasa tushukuru Mungu kwa kutupatiaMudathir Yahya.
Naona umeandika kwa furaha na bashasha Sana kiwango Cha kijana kushuka..
 
Leo nimepata fursa ya kushuhudia huyu Kijana akicheza dakika zake 13 hapa Misri.

Kwa jicho langu la kiufundi huyu dogo ili acheze vizuri anahitaji hamasa sana hasa kutoka kwa mashabiki. Pia ni aina ya wachezaji wanaopenda kuzungumzwa ili afanye vyema kiwanjani.

Huyu dogo kamwe hatoweza kurudi katka ubora wake hata acheze timu yeyote ile hapa Afrika, labda akipata fursa ya kicheza mpira nje ya nchi ndipo atapata fursa ya kunolewa upya.

Yaani ni aina ya wachezaji kama Chama. Ili afanye vyema ni lazima mashabiki na waandishi wa habari wamsifie na kumzungumza kila wakati.


Licha. Ya fitness routine alizokuwa akifanya kipindi hayuko kambini na timu yake Yanga SC, bado anaonekana kuna kitu anakosa.

Unaweza ukamsaidia arudishe fitness yake ila ni ngumu saana kurudisha psychology yake ktk njia sahihi.

Dogo keshapotea.

Hata national team call up ilikuwa ni kwasabbu ya yule mpemba morroco aliyependekeza jina lake kwasababu za kiuzanzibar tu...Hakuna kocha mwenye leseni iliyo shiba anaweza muita feisal.

Kipaji kimepotea, ila kama taifa yatupasa tushukuru Mungu kwa kutupatiaMudathir Yahya.
Sawa Mungu
 
Steve Nyerere yule actor wa mchongo aliwahi kusema Omary Nyembo a.k.a Ommy dimpoz poz kwa poz hatoimba tena kwasababu koo lake lina hitilafu..
Gafla bina vuu kijana akaibuka na kibao kipya na kumwacha mzeekijana mdomo wazi.

Sasa wewe ni watu aina ya mzeekijan, lopolopo, dakika 13 zimetosha kuhitimisha hatma ya Feisal, dakika 13 zimetosha kukuonesha kua dogo hawezi KAMWE...

Jitafakari, chukua hatua...
 
Hilo huwa ni kawaida kwa mchezaji yeyote anapo kaa nje ya pich kwa muda mrefu akicheza mechi mbili anarudi kwenye hali ya kawaida.
Sawa Mkuu, sasa yeye hataki kurudi Yanga na wala kutafuta timu nyingine ili asajiliwe na aendeleze kipaji chake, sasa atarudije kwenye form? Ifike mahali naye ajitambue awaambie wanaomtaka wakae mezani na Yanga ili akamilishe dili lake la kuihama Yanga halafu aendelee na kuboresha kiwango chake.
 
awaambie wanaomtaka wakae mezani na Yanga ili akamilishe dili lake la kuihama Yanga halafu aendelee na kuboresha kiwango chake.

Unakitu ndani Yako [emoji122]

CC. Simba Fans
CC. Wachambuzi wafitinishaji wa wachezaji na timu zao
 
Back
Top Bottom