Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Feitoto ni mchezaji mwenye juhudi nyingi uwanjani, ila kiukweli sio mchezaji mwenye kipaji halisi cha soka. Ukiachana na mashuti anayopiga ambayo ni asilimia chache sana yamezaa magoli nini kingine anaweza kukupa? Hawezi kupiga chenga, hawezi fanya driblling, sio mkabaji mzuri n.k
Yanga wamemvimbisha kichwa huyu kijana matokeo yake ndio haya amekuwa Bonge la star anayejiona anaweza cheza PSG na kina Messi na Mbape.
Kiufupi Feitoto anawategemea zaidi Yanga kuliko Yanga wanavyomtegemea yeye.
Heri ya Mwaka Mpya.
Povu ruksaa...
Yanga wamemvimbisha kichwa huyu kijana matokeo yake ndio haya amekuwa Bonge la star anayejiona anaweza cheza PSG na kina Messi na Mbape.
Kiufupi Feitoto anawategemea zaidi Yanga kuliko Yanga wanavyomtegemea yeye.
Heri ya Mwaka Mpya.
Povu ruksaa...