Feisal Salum yupo wapi hapa?

iyo picha kapost nani?
kuna picha page ya yanga walipost jana fei yupo asa wew iyo umeitoa wapi
Hiyo yangu ni ya mwanzo kabisa baada ya mechi.
Hiyo unayoisema watakuwa wameiedit baada ya kuona mapungufu kwa hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…