Feisal salumu chutama na kuomba radhi kwa wana Yanga na viongozi wote, hakika utapotelea kusikojulikana

Salary kidogo na bado awapigie magoti? Kichaa
 
Feisal amewekwa sehemu na watasha anakula marupurupu taratiibu...
Team za bongo kwa kukomoana,Subiri mkataba wake uishe ndio uamini,feisal atabaki dar...
Mpaka 2024! Bila shaka itamchukua muda wa kutosha tu kurudi kwenye kiwango chake cha awali.
 
Ugali sukari
 
Hakika atapotea

Eti alivyokuwa anapiga vile vishoot vyake vya kubahatisha akajiona mchezaji mkubwa mwenye kiwango na tegemeo

Kumbe wala sio tegemeo na hajaacha pengo
 
Feisal amewekwa sehemu na watasha anakula marupurupu taratiibu...
Team za bongo kwa kukomoana,Subiri mkataba wake uishe ndio uamini,feisal atabaki dar...
huo mkataba unaishaje? huyu dogo hatacheza tena mpira tupo hapa
 
huo mkataba unaishaje? huyu dogo hatacheza tena mpira tupo hapa
Kama anaona bora kupotea kuliko kurudi Yanga yeye binafsi ndo anajua lililomkuta huko.
Mtu kama ww ikitokea akacheza utaumia ila asipocheza tena hakuna utakaloongeza.
 
Fei kasema wazi kabisa kwamba hawataki UTO.
 
Kama anaona bora kupotea kuliko kurudi Yanga yeye binafsi ndo anajua lililomkuta huko.
Mtu kama ww ikitokea akacheza utaumia ila asipocheza tena hakuna utakaloongeza.
Wewe ni sawa na shetani unajifanya unampenda kumbe unafurahia anguko lake
 
Namuona anavyokula mshahara wake bila jasho...

tena mimi ningekuwa huko morogoro vijijini na ATM card yangu kulima matikiti kwa kipindi chote kilichosalia cha mkataba

Kaka mshahara alilipwa kwa miezi 3 tu sasa iv apewi mshahara wala malupulupu kwa maana ni mtoro kazin!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…