Mpaka 2024! Bila shaka itamchukua muda wa kutosha tu kurudi kwenye kiwango chake cha awali.Feisal amewekwa sehemu na watasha anakula marupurupu taratiibu...
Team za bongo kwa kukomoana,Subiri mkataba wake uishe ndio uamini,feisal atabaki dar...
Mpira ni kazi kama kazi zingine[emoji16] huku na mpira mguuni unalima matikiti.
Ugali sukariUnapokosea siyo vibaya kuomba radhi na maisha mengine yaendelee huku mkono unakwenda kinywani, bila kujali makelele ya wafua vyuma.
Ndiyoooo, nimemuona Feisal wa Taifa Stars ni tofauti kabisa na Feisali kijana pendwa wa kocha Nabi.
Hakika kama Feisal akiendelea kuvimba huko mafichoni, kitakachotokea hata wale waliomjaza upepo watamkimbia na kutokomea kusikojulikana.
Najiuliza mpaka sasa Feisal anafanya mazoezi gani? Je, ni mazoezi stahili ili kujiweka fiti inavyotakiwa?
Nalengwa na machozi kwa kijana fundi, kijana mwenye talanta kupotea kwenye kiza kinene kwa sababu ya siasa za mpira wetu wa Kitanzania hasa hawa mapacha wa Simba na Yanga.
Mliomjaza upepo Feisali, tunaomba mumshauri arudi kuomba radhi ili asipoteze talanta yake ya football, kwa kweli alikaa miezi miwili bila mechi yoyote kaja kuonekana Taifa Stars, bwana mdogo kiwango kimeshuka.
Feisal asiposhituka mapema, namuona kabisa Simba, Azam na Yanga zikimkataa na kukimbilia Ruvu, mtibwa na nk.
huo mkataba unaishaje? huyu dogo hatacheza tena mpira tupo hapaFeisal amewekwa sehemu na watasha anakula marupurupu taratiibu...
Team za bongo kwa kukomoana,Subiri mkataba wake uishe ndio uamini,feisal atabaki dar...
2024 atakua kwenye kesi ya kuvunja mkataba bila utaratibu kifupi ni kwamba huyu dogo hatacheza tena tunzeni hii commentMpaka 2024! Bila shaka itamchukua muda wa kutosha tu kurudi kwenye kiwango chake cha awali.
Anaumia huko alipoHakika atapotea
Eti alivyokuwa anapiga vile vishoot vyake vya kubahatisha akajiona mchezaji mkubwa mwenye kiwango na tegemeo
Kumbe wala sio tegemeo na hajaacha pengo
Hizo ni propaganda tu.Ugali sukari
Propaganda kivipi wakati bi mkubwa kaongea?Hizo ni propaganda tu.
Kama anaona bora kupotea kuliko kurudi Yanga yeye binafsi ndo anajua lililomkuta huko.huo mkataba unaishaje? huyu dogo hatacheza tena mpira tupo hapa
Huku akisongewa ugali sukari.Mazoezi anafanyishwa na MAMA YAKE!
Wewe ni sawa na shetani unajifanya unampenda kumbe unafurahia anguko lakeKama anaona bora kupotea kuliko kurudi Yanga yeye binafsi ndo anajua lililomkuta huko.
Mtu kama ww ikitokea akacheza utaumia ila asipocheza tena hakuna utakaloongeza.
Tunafahamu Hilo kuwa anawataka simba.Fei kasema wazi kabisa kwamba hawataki UTO.
Namuona anavyokula mshahara wake bila jasho...
tena mimi ningekuwa huko morogoro vijijini na ATM card yangu kulima matikiti kwa kipindi chote kilichosalia cha mkataba
Kwani mkataba wake ndiyo unasema hivyo?Kaka mshahara alilipwa kwa miezi 3 tu sasa iv apewi mshahara wala malupulupu kwa maana ni mtoro kazin!
Yule dogo anateketea waliomshauri wamemuingiza matopeni.Kwani mkataba wake ndiyo unasema hivyo?
Vipi uliuona mkataba wake au ni maneno ya mtandaoni tuYule dogo anateketea waliomshauri wamemuingiza matopeni.