Feisal salumu chutama na kuomba radhi kwa wana Yanga na viongozi wote, hakika utapotelea kusikojulikana

UKIACHWA ACHIKA uto waheed wewe
Nimeongelea Zaid talanta yake siyo ushabiki mauno fc wewe
Unadhani saivi yupo wapi ?? Anafanya Nini akirudi uwanjani hakuna timu itamtaka dogo anapiromoka
 
Nimeongelea Zaid talanta yake siyo ushabiki mauno fc wewe
Unadhani saivi yupo wapi ?? Anafanya Nini akirudi uwanjani hakuna timu itamtaka dogo anapiromoka
Yuko kitandani anakukanda na miuni feni yako
Anapiromoka ndio mdudu gani
 
Feisal haitaki Yanga , wewe unaleta magazeti humu.

Wapi umemwona Feisal akilalamika kwamba anahitaji huruma. Makosa yake unayajua ww lkn si feisal na lawyers wake.

Ulisikia Yanga Ni baba na mama yake.
 
Feisal haitaki Yanga , wewe unaleta magazeti humu.

Wapi umemwona Feisal akilalamika kwamba anahitaji huruma. Makosa yake unayajua ww lkn si feisal na lawyers wake.

Ulisikia Yanga Ni baba na mama yake.
Amalize mkataba Kama Kuna mtu atamuhitaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…