Feisal salumu utakapoitikia wito wa taifa stars utakua umevunja msimamo wako wakutokua mchezaji halali wa yanga

Hivi zile milioni 100 alizoweka kwenye akaunti ya Yanga ili kuvunja mkataba wake, alizipata wapi kama mchezaji alikuwa anashindia ugali na sukari?
Mchezaji kama Feisal hawezi kukosa milioni 100 akiwa anaihitaji.
 
Mchezaji huitwa timu ya taifa hata kama hana timu kwa wakati huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…