Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Kwa bahati mbaya akili hizo hana! Na mbaya zaidi kuna wajinga wengi wanavimbisha kichwa.Maturity ni kukubali yaishe,arudi kambini maisha yaendelee. Yeye sio wa kwanza kukosea.
Anavozidi kukaa hivi ubora wake unapungua.
Najua kinachomsumbua ni ego/pride. Asione aibu,kuna wataomcheka na kumkebehi but eventually yataisha na tutasahau maisha yataendelea.
Namuonea huruma.
Huyu dogo hajielewi. Na anaonekana ni mtoto wa mama.Jambo la kusikitisha ni kuwa wakati wenzake wanarudi katika timu zao yeye anarudi mtaani......."
Kuna hesabu dogo alipigiwa, na ndo hizi mbanga zimemfikisha hapa
View attachment 2569866
Tevez aliondoka Man City baadae wakayajenga akarudi.Maturity ni kukubali yaishe,arudi kambini maisha yaendelee. Yeye sio wa kwanza kukosea.
Anavozidi kukaa hivi ubora wake unapungua.
Najua kinachomsumbua ni ego/pride. Asione aibu,kuna wataomcheka na kumkebehi but eventually yataisha na tutasahau maisha yataendelea.
Namuonea huruma.
Kama kuna watu wanamroga naomba waje wachukue mchango wangu wa hali na mali. Wamroge zaidi aishie kama Ramadhan Singano au Ibrahim Ajibu .Ila wanajangwani, hatumlogi kweli huyu mtoto? [emoji16]
Kama hujawahi kukosea maishani mwako naomba uwe wa kwanza kumloga.Kama kuna watu wanamroga naomba waje wachukue mchango wangu wa hali na mali. Wamroge zaidi aishie kama Ramadhan Singano au Ibrahim Ajibu .
Sidhani kama kuna mchawi zaidi ya Jemadari Said.Ila wanajangwani, hatumlogi kweli huyu mtoto? [emoji16]
Hakuna anayemtaka, afuate utaratibu aondokeSi mumuache aende kwa nn mnamshikilia kwa lazima
Mbona alisharudisha zile pesa mnapenda visa na ushamba mwingi ...Muacheni aondokeHakuna anayemtaka, afuate utaratibu aondoke
Huu ushauri wako simba watapingaMaturity ni kukubali yaishe,arudi kambini maisha yaendelee. Yeye sio wa kwanza kukosea.
Anavozidi kukaa hivi ubora wake unapungua.
Najua kinachomsumbua ni ego/pride. Asione aibu,kuna wataomcheka na kumkebehi but eventually yataisha na tutasahau maisha yataendelea.
Namuonea huruma.
Mm pia ni Simba though[emoji3061]Huu ushauri wako simba watapinga
Kazipata hizo pesa? jana kacheza dakika 20 amechoka kama kacheza 120minsBora kusaulika uwe na pesa. Kuliko kukumbukwa na ufukara wako.