mpenda arage
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 1,677
- 3,806
Mkuu mijamaa ina roho za kichawi chawi sana,yaani ni mimasikini haina hela,halafu inang'ang'ania mchezaji ili imlipe pesa wanazotaka wao wakati mchezaji kashaona fursa kwingineko,na wakati huo huo kwenye Mkataba wameshajitela, wanabaki kutoa laana utafikiri wao ni MunguBado tu mna mawazo ya kijinga Feisal yanga sio Mama yake wala Baba yake. Muacheni aamue hatma ya maisha yake!! Ngasa hadi leo anachekwa, kwa kukataa ofa nono Sudan ili aichezee yanga! Leo hii hata pesa ya kuingia uwanjani acheki mechi za yanga hana. Akitaka kuingia kwa kutumia jina na mapenzi yake kwa yanga, mabaunsa wanamzuia!! Hadi huruma! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti mimi hunijui wewe?! Jamani, wewe humjui Ngasa kweli?! Watu wanataka gademu money hayo mapenzi peleka Tanga!!
"Kama Mwanamke hakutaki, muache usimbake"
Afande Sele!
Unaujua mshahara wa Morrison kama nani yake? Meneja wake, wakala wake!!Unajua baada ya kurudi sasa hivi Morrison analipwa sh. milioni 23 kwa mwezi? Sasa hapo unaweza ukasema amepunguziwa au ameongezewa hela?
Genta!! Hivi una ID's ngapi?Wekeni Kumbukumbu huu uzi. Feisal Toto sijajua nani anamdanganya. Ila nadhani amesahau. Ameisahau Yanga. Yanga siyo kama Simba wale mabwege.
Huyu Fei Toto namwona hapa akija Yanga analia akiomba asamehewe. Tena anaomba acheze kwa mshahara wowote ambao Yanga watapenda kumpa atakubali kwa moyo wote.
Yanga haichezewi. Amuulize Benny Morrison alifanywa nini alivyotutoa akili. Akumbuke lile busha tulimshusha. Na sasa hivi anaichezea Yanga ( Ingawa tunajua kuna mtu anapata asilimia zake pale kwa Bernard Morrison. Tunaponyamaza msidhani sisi ni Mabwege kama Simba.
Ni vile tu sisi wengine katika team hizi ndo wasomi hatupendi propaganda na kuchanganyana. Feisal hatofanikiwa huko aendako. Na akirudi atakuwa mtupu sana. Atarudi kuomba msamaha kwa wazazi wake sisi.
Nyie endeleeni tu kumdanganya. Tumemtoa gizani huyu dogo. Tumemtengeneza. Na anadhani kile ni kipaji chake anasahau ambavyo huwa tunamwogesha kila mara anapofubaa.
Hilo ni la huko utopoloni kwenu kwa wasio na Akili
roho ya kichawiWekeni Kumbukumbu huu uzi. Feisal Toto sijajua nani anamdanganya. Ila nadhani amesahau. Ameisahau Yanga. Yanga siyo kama Simba wale mabwege.
Huyu Fei Toto namwona hapa akija Yanga analia akiomba asamehewe. Tena anaomba acheze kwa mshahara wowote ambao Yanga watapenda kumpa atakubali kwa moyo wote.
Yanga haichezewi. Amuulize Benny Morrison alifanywa nini alivyotutoa akili. Akumbuke lile busha tulimshusha. Na sasa hivi anaichezea Yanga ( Ingawa tunajua kuna mtu anapata asilimia zake pale kwa Bernard Morrison. Tunaponyamaza msidhani sisi ni Mabwege kama Simba.
Ni vile tu sisi wengine katika team hizi ndo wasomi hatupendi propaganda na kuchanganyana. Feisal hatofanikiwa huko aendako. Na akirudi atakuwa mtupu sana. Atarudi kuomba msamaha kwa wazazi wake sisi.
Nyie endeleeni tu kumdanganya. Tumemtoa gizani huyu dogo. Tumemtengeneza. Na anadhani kile ni kipaji chake anasahau ambavyo huwa tunamwogesha kila mara anapofubaa.
Unashindwa kumtambua ndugu yako kwa akili zake? he's from Mbumbumbu kingdomHilo ni la huko utopoloni kwenu kwa wasio na Akili
Wewe mpumbavu kama walivyo wapumbavu wengine,si ukacheze weweWekeni Kumbukumbu huu uzi. Feisal Toto sijajua nani anamdanganya. Ila nadhani amesahau. Ameisahau Yanga. Yanga siyo kama Simba wale mabwege.
Huyu Fei Toto namwona hapa akija Yanga analia akiomba asamehewe. Tena anaomba acheze kwa mshahara wowote ambao Yanga watapenda kumpa atakubali kwa moyo wote.
Yanga haichezewi. Amuulize Benny Morrison alifanywa nini alivyotutoa akili. Akumbuke lile busha tulimshusha. Na sasa hivi anaichezea Yanga ( Ingawa tunajua kuna mtu anapata asilimia zake pale kwa Bernard Morrison. Tunaponyamaza msidhani sisi ni Mabwege kama Simba.
Ni vile tu sisi wengine katika team hizi ndo wasomi hatupendi propaganda na kuchanganyana. Feisal hatofanikiwa huko aendako. Na akirudi atakuwa mtupu sana. Atarudi kuomba msamaha kwa wazazi wake sisi.
Nyie endeleeni tu kumdanganya. Tumemtoa gizani huyu dogo. Tumemtengeneza. Na anadhani kile ni kipaji chake anasahau ambavyo huwa tunamwogesha kila mara anapofubaa.
Yupo anafanyiwa chekup UarabuniKwani fei toto ameenda timu gani nje?
Mbona unatokwa sana na povu kila sehemu ya wazi ya mwili wako?😂Wewe mpumbavu kama walivyo wapumbavu wengine,si ukacheze wewe
DaH inafikirisha sana game vs prison game vs azamHuyo Fei hakua kila kitu Yanga...! hata game ambazo Yanga imecheza pasipo yeye bado imepata matokeo & gape la fei halikuweza kuonekana..! Labda Viongozi wanarukaruka na kutaka maslai tu ila Fei hakua / hajawai kila kitu pale jangwani wayamalize tu asepe. Kifupi anajazwa ujinga/ ukubwa ambao hana.. ! Una Aziz K unang'ang'ania Fei toto? [emoji848][emoji848]