Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 276
- 549
Hujui tu mdogo wangu hauna match fitness unakubalije kwenda national team bila kuelewa kua ni kampeni ya Yanga kukudhalilisha.
Achana na misifa ya kuitwa Stars ukajiona we unafaa dogo tafuta timu hata kama ni simba au ihefu... we nanda mpira ni kama shule bila kusoma huwez kufaulu.
GSM Wanakupimia ili wakufelisha... hii nchi usije chezea Yanga na Simba hawa wahuni wa Kariakoo sio poa wana had ushirikina.
Feisal umekua kibonge
Achana na misifa ya kuitwa Stars ukajiona we unafaa dogo tafuta timu hata kama ni simba au ihefu... we nanda mpira ni kama shule bila kusoma huwez kufaulu.
GSM Wanakupimia ili wakufelisha... hii nchi usije chezea Yanga na Simba hawa wahuni wa Kariakoo sio poa wana had ushirikina.
Feisal umekua kibonge