Feisal toto kwanini anaitwa timu ya Taifa na hana kiwango wala msaada timu ya Taifa . bora Awesu Awesu

Feisal toto kwanini anaitwa timu ya Taifa na hana kiwango wala msaada timu ya Taifa . bora Awesu Awesu

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
I will be short.

when did Fei toto ever help taifa stars in anything??

Kwenye mechi yeye ndo mzingo wa timu. hana analofanya anazunguka tu kwenye mechi then anatolewa.

Morocco anaona nini kwa Fei toto?

Mechi kibao hana hata assist timu ya Taifa. then kila list yupo ila kiwango Hana. ni mzingo wa taifa stars. bora awesu awesu.

changes should be made. mizingo itolewe yote timu ya Taifa.
 
I will short.

when did Fei toto ever help taifa stars in anything??

kwenye mechi yeye ndo mzingo wa timu. hana analofanya anazunguka tu kwenye mechi then anatolewa.

morocco anaona nini kwa Fei toto??

mechi kibao hana hata assist timu ya Taifa. then kila list yupo ila kiwango Hana. ni mzingo wa taifa stars. bora awesu awesu.

changes should be made. mizingo itolewe yote timu ya Taifa.
Labda shemejie.
 
Back pass, square pass,zungukazunguka na mpira,kanyaga kulia mara kushoto,kukaba hawezi
 
Baada ya Samatta unamfata Feisal mbona hamuwasemi Ally Salim na Msheli ambao wanakaa bench lakini wanaitwa.
 
Hamna kitu huyu bwana mdogo nimetoka kutazama mechi ya azam na jkt .
Faisal hamna alichofanya
 
Watanzania wote wanajua mpira mdomoni,wapange sasa wacheze.
 
Heee heee heeee, nyie nyie muone aibu, huyu Bwamdogo kuhama yanga tuu ndio omekuwa nongwa.

Kuna wachezaji Taifa wanaitwa na hakuna wanachokifanya, hata kupangwa hawapangwi.

Feisal anafanyakazi, kuhama yanga isiwe kisirani cha kumsema yote mnayoyasema.
Mnatia kinyaaa
 
Mnalalamika sana emu nitajieni wachezaji wawili tu wanaoisadia taifa stars
 
Kwasasa awesu anamzidi, si kwa margin kubwa but anamzidi. Mpira gani huu? Backpass kibao
Anacheza na wakina nani? Fei wa Azam amezungukwa na wachezaji wazuri, hata huyo Awesu angepiga back pasi.Maana hata Mzize wa Yanga na huyu wa leo ni tofauti.
 
Fei wa azam amezungukwa na wachezaji wazuri? Seriously bro? 😂
Unataka tubishane, sasa profile ya wachezaji wako wa Stars na Azam ni sawa......?

Maana hata Mzize wa Yanga na Stars tofauti.
 
I will short.

when did Fei toto ever help taifa stars in anything??

kwenye mechi yeye ndo mzingo wa timu. hana analofanya anazunguka tu kwenye mechi then anatolewa.

morocco anaona nini kwa Fei toto??

mechi kibao hana hata assist timu ya Taifa. then kila list yupo ila kiwango Hana. ni mzingo wa taifa stars. bora awesu awesu.

changes should be made. mizingo itolewe yote timu ya Taifa.
faiza ana uwezo, ila tuseme ukweli kibabage huwa sielewi hata kwanini wanamuita, ila namwombea mema kwasababu ni kijana anatafuta ugali, but ningekuwa kocha, ningemsubirisha kwanza.
 
Back
Top Bottom