Feisal Toto, ulistahili, unastahili na umechelewa saana, Bravo, kuna muda Maisha ni akili, kipaji pekee hakitoshi - Wanasema Mision Accomplished

Feisal Toto, ulistahili, unastahili na umechelewa saana, Bravo, kuna muda Maisha ni akili, kipaji pekee hakitoshi - Wanasema Mision Accomplished

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
2,255
Reaction score
1,565
Kwa umri wako na kiwango chako uko kwenye peak ya mafanikio, master mind wako amepanga hesabu zikapangika na wakajaa kwenye hesabu zenu, sasa wewe ndie mchezaji uatakayekuwa unalipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote wa ndani, na utakuwa ni mchezaji wa tatu kulipwa mshahara mkubwa kwa soka la Tanzania.

Hongera saana, next time ukipata upenyo kama huu, unapelekea kama unataka kuhamia Simba kwa Watani wao, saizi ungekuwa ndiye mchezaji unayelipwa fedha nyingi kwa hapa Tanzania,sio mbaya hata kule ulikowachezeshea kuwa unataka kwenda kumesaidia na kutawasaiidia Wachezaji wazawa wengi hapo baadaye kuboresha masilahi yao.

Hiki alichofanya Feisal, alikuwa anafanya Emmanuel Okwi kuwapiga Simba, akaja Bernad Morrison na sasa imefika kwa Mzawa Feisal Toto. Ulistahili na unastahili kwa package utakayopewa sasa hapo Jangwani, kipaji bila akili ni sawa na kumaliza chuo ukakosa cheti.

Wachezaji wengine msije mkaiga itawagharimu, Feisal Toto kwa vyovyote ambavyo ingekuwa Yanga wasingeweza kumshitaki kokote kule (sababu ni nyingi), hiyo ndiyo ngao iliyokuwa mbele ya sakata hili.
Mchezo umeumaliza, sasa katumikie Jangwani moyo na akili vikiwa vimetulia.
Kupanga ni kuchagua, Wachezaji na Wanamichezo wengine msisite kuajiri vijana walioenda shule wawasaidie kwenye mambo yenu, the has so much to offer to you ila mnakwama kwa sababu ya watu walio nyuma yenu, kipaji pekee hakitoshi kwenye dunia ya leo.

Hongera Wizara ya Michezo Utamaduni na Sanaa
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Mwaka 2023 uwe wa kheri kwa kila Mwana JF
 
Katika hili swala kila mtu atajikuta muandishi mahiri. Yes alistahili mazuri mshahara, bonus na benefits nyingine lakini mlikua wapi kuyaongelea haya hapo kabla? Saivi ameboreshewa eti alikua anatingisha kiberiti.
Bado kuna wale bendera fuata upepo watakuja tena kumsifia Fei Toto kwa kukubali kurejea kundini!

Wakati ni juzi tu hapa walitoka kumsifia kwa maamuzi yake, na walitukejeli kweli kweli!!
 
FB_IMG_16721436300456713.jpg

🤣🤣🤣🤣😅😅🙌🙌🙌🏃🏃
 
Katika hili swala kila mtu atajikuta muandishi mahiri. Yes alistahili mazuri mshahara, bonus na benefits nyingine lakini mlikua wapi kuyaongelea haya hapo kabla? Saivi ameboreshewa eti alikua anatingisha kiberiti.
Kila kitu na wakati wake mkuu
 
Kwa umri wako na kiwango chako uko kwenye peak ya mafanikio, master mind wako amepanga hesabu zikapangika na wakajaa kwenye hesabu zenu, sasa wewe ndie mchezaji uatakayekuwa unalipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote wa ndani, na utakuwa ni mchezaji wa tatu kulipwa mshahara mkubwa kwa soka la Tanzania.

Hongera saana, next time ukipata upenyo kama huu, unapelekea kama unataka kuhamia Simba kwa Watani wao, saizi ungekuwa ndiye mchezaji unayelipwa fedha nyingi kwa hapa Tanzania,sio mbaya hata kule ulikowachezeshea kuwa unataka kwenda kumesaidia na kutawasaiidia Wachezaji wazawa wengi hapo baadaye kuboresha masilahi yao.

Hiki alichofanya Feisal, alikuwa anafanya Emmanuel Okwi kuwapiga Simba, akaja Bernad Morrison na sasa imefika kwa Mzawa Feisal Toto. Ulistahili na unastahili kwa package utakayopewa sasa hapo Jangwani, kipaji bila akili ni sawa na kumaliza chuo ukakosa cheti.

Wachezaji wengine msije mkaiga itawagharimu, Feisal Toto kwa vyovyote ambavyo ingekuwa Yanga wasingeweza kumshitaki kokote kule (sababu ni nyingi), hiyo ndiyo ngao iliyokuwa mbele ya sakata hili.
Mchezo umeumaliza, sasa katumikie Jangwani moyo na akili vikiwa vimetulia.
Kupanga ni kuchagua, Wachezaji na Wanamichezo wengine msisite kuajiri vijana walioenda shule wawasaidie kwenye mambo yenu, the has so much to offer to you ila mnakwama kwa sababu ya watu walio nyuma yenu, kipaji pekee hakitoshi kwenye dunia ya leo.

Hongera Wizara ya Michezo Utamaduni na Sanaa
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Mwaka 2023 uwe wa kheri kwa kila Mwana JF
Mchaaa mbuzi.
 
umewapasha
Sio zambi kutoa mawazo, kila mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake ili mradi havunji Sheria wala kanuni za JF, hata yeye ametumia Uhuru wa kutoa maoni kuelezea hisia zake juu ya watu wanaotoa mawazo kuhusu FT
 
Never ever try to frustrate your employer/boss, as he has all the means and ways to destroy you forever if he so wishes. Take my word and be cautious.
 
Back
Top Bottom