Feisal umekubali nguvu ya Simba na Yanga

Feisal umekubali nguvu ya Simba na Yanga

Hapa Tanzania wachezaji wanapitia wakati mgumu ambao sio wageni na waeleza wale wachezaji wa ndani. Timu mbili ambazo zinaweza kukupa mashavu na madili makubwa ni Simba na Yanga, ila hizo hizo zinaweza kukuweka gizani.

Feisal kwa sasa kama hakuna anayemfatilia ukilinganisha kipindi yupo Yanga na dili za matangazo. Kuna msemo usemwao; "Kila penye mafanikio washauri wa kila aina wanaongezeka."

Ili linaweza kuwa ndio lililomtoa kwenye njia. Tanzania sio Uingereza sababu kwenye vilabu vilivyo na nguvu hapa ni viwili tu.

Ukitoka hapo hakuna atakayekusikia wala kuwa na muda na wewe upande wa mashabiki mpaka madili ya maana.

Ugali kwa sukari.
Mbona kijana wetu hana shida tena ya maisha!! Kwa sasa analipwa mshahara wa milioni 16, badala ya ule mshahara kiduchu wa milioni 4! Na uliomfanya ashindie ugali na sukari!

Kijana kanunuliwa nyumba, kapewa gari kali! Akitaka ice cream za Azam anapewa bure!! Eeeh!! Kijana amekosa nini!! Kwa sasa analea kitambi chake , kama aenzake akina Sopu, nk!! Baada ya hapo, atahamia zake simba! Timu ya ndoto yake!!!
 
Angalia Mudahiri wa Azam na Yanga
Yanga ni kituo bora kabisa cha kuboresha vipaji vya wachezaji wengi wa Tanzania! Hakika Mudathir wa Azam na huyu wa Yanga, ni watu wawili tofauti.

Fei toto wa Yanga na huyu wa Azam, ni mbingu na ardhi!! Ajib wa Yanga ya Mwinyi Zahera na huyu aliyekimbilia simba, Azam na sasa Coastal! Hawakaribiani kwa chochote!

The same to Gadiel Michael, Obrey Chirwa, Benno Kakolanya, na wengineo wengi.
 
Tulioangalia mipira tangu enzi hizo, enzi za akina Gibson Sembuli tupo mkuu, wala usipate shida.
Kwa Simba, Edward Chumila alikua chama Chama lakini akaenda kuchezea Yanga. Bado sijamuongelea Zamoyoni Mogella.
Steven Nemes akadakia Simba
Lini Chumila alicheza Yanga?
 
Yanga ni kituo bora kabisa cha kuboresha vipaji vya wachezaji wengi wa Tanzania! Hakika Mudathir wa Azam na huyu wa Yanga, ni watu wawili tofauti.

Fei toto wa Yanga na huyu wa Azam, ni mbingu na ardhi!! Ajib wa Yanga ya Mwinyi Zahera na huyu aliyekimbilia simba, Azam na sasa Coastal! Hawakaribiani kwa chochote!

The same to Gadiel Michael, Obrey Chirwa, Benno Kakolanya, na wengineo wengi.
Vipi kuhusu Mkude tuwape miaka mingapi?
 
Hapa Tanzania wachezaji wanapitia wakati mgumu ambao sio wageni na waeleza wale wachezaji wa ndani. Timu mbili ambazo zinaweza kukupa mashavu na madili makubwa ni Simba na Yanga, ila hizo hizo zinaweza kukuweka gizani.

Feisal kwa sasa kama hakuna anayemfatilia ukilinganisha kipindi yupo Yanga na dili za matangazo. Kuna msemo usemwao; "Kila penye mafanikio washauri wa kila aina wanaongezeka."

Ili linaweza kuwa ndio lililomtoa kwenye njia. Tanzania sio Uingereza sababu kwenye vilabu vilivyo na nguvu hapa ni viwili tu.

Ukitoka hapo hakuna atakayekusikia wala kuwa na muda na wewe upande wa mashabiki mpaka madili ya maana.

Ugali kwa sukari.
Mpira ni maokoto. Wewe shabiki wa yanga unamsaidia Nini Feisal.

Mpira Ni kazi yake.
 
Mwisho wa siku tunaangalia Kati ya Azam na yanga ipi team imepa mafanikio Mazuri sio unakaa unazungumzwa sana afu unalala njaa kwa fai kwenda Azam unichaguzi sahihi kabsa angebaki yanga uzeeni angeishia kuuza gongo na chang'aa
What if angebaki akaonekana na timu kubwa kisha kuingiza mamilioni kama Mayele?
 
What if angebaki akaonekana na timu kubwa kisha kuingiza mamilioni kama Mayele?
Bado angebaki kwa Yanga hakuna ambacho angepata mala ya mwisho alikua anatakiwa na TP mazembe ila viongozi wa yanga wakamzunguka wachezaji wazawa hua wanachezewa sana na vingonzi wa yanga
 
Feisal anapaswa kukaza shingo apige pesa ya maana Azam, akae misimu mitatu Azam na akiwashe sana unene upungue, akishapata ghorofa moja Sasa arudi Yanga ndio kwao , asikubali kurubuniwa kwenda Simba ambao watamtumia kidogo kujaza mashabiki na kisha kumtupa maana Iko wazi kila mtu anajua Feitoto roho yake ni Yanga ila kula ugali na sukari ndo hataki!
 
Yanga ni kituo bora kabisa cha kuboresha vipaji vya wachezaji wengi wa Tanzania! Hakika Mudathir wa Azam na huyu wa Yanga, ni watu wawili tofauti.

Fei toto wa Yanga na huyu wa Azam, ni mbingu na ardhi!! Ajib wa Yanga ya Mwinyi Zahera na huyu aliyekimbilia simba, Azam na sasa Coastal! Hawakaribiani kwa chochote!

The same to Gadiel Michael, Obrey Chirwa, Benno Kakolanya, na wengineo wengi.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Bado angebaki kwa Yanga hakuna ambacho angepata mala ya mwisho alikua anatakiwa na TP mazembe ila viongozi wa yanga wakamzunguka wachezaji wazawa hua wanachezewa sana na vingonzi wa yanga
Sio kweli
 
Back
Top Bottom