Feit toto asipangwe mechi yoyote kwa sasa hata akiwa tayari kucheza wakati swala lake linashughulikiwa

Feit toto asipangwe mechi yoyote kwa sasa hata akiwa tayari kucheza wakati swala lake linashughulikiwa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huu ndio ushauri wangu kwa kocha na uongozi mzima wa Yanga.

Yanga mtakeni Fei na Azam wafuate taratibu kisha mumuruhusu aende zake huyu hawezi tena kuitumikia club ya Yanga kwa moyo kwani hata mkimuongeza mshahara, kesho anaweza kushawishiwa kwa mshahara mkubwa zaidi hivyo atawasumbua tu.

Azam kama kweli wana hela na nia ya kuileta ushindani, kwanini wasitafute vipaji bora zaidi kutoka nje ya nchi ?

Leo ni Fei, kesho watamtafuta nyota mwingine wa Yanga na si kutafuta kutoka nje ya nchi.

Yanga mwacheni Feii aende zake na tafuteni mwingine kutoka nje ya nchi mwenye uwezo zaidi naamini uwezo wa kusajili mchezaji mwingine mnao.
 
Huu ndio ushauri wangu kwa kocha na uongozi mzima wa Yanga.

Yanga mtakeni Fei na Azam wafuate taratibu kisha mumuruhusu aende zake huyu hawezi tena kuitumikia club ya Yanga kwa moyo kwani hata mkimuongeza mshahara, kesho anaweza kushawishiwa kwa mshahara mkubwa zaidi hivyo atawasumbua tu.

Azam kama kweli wana hela na nia ya kuileta ushindani, kwanini wasitafute vipaji bora zaidi kutoka nje ya nchi ?

Leo ni Fei, kesho watamtafuta nyota mwingine wa Yanga na si kutafuta kutoka nje ya nchi.

Yanga mwachen Feii aende zake na tafuteni mwingine kutoka nje ya nchi mwenye uwezo zaidi. naamini uwezo mnao.
Walipeni wachezaji hela nzuri. Hawatashawishika kuhama. Acha kulia lia.

Ni sawa na kuwaambia Azam wasilipe hela nzuri ili mfanane kwa pamoja.

Mchezaji yeyote akipata nafasi kwenye timu yenye maslahi bora, na aende.

Kama tu Fei mnamlipa 4m, bila shaka Kibwana atakuwa anakunja Laki 7 yake.
 
Huu ndio ushauri wangu kwa kocha na uongozi mzima wa Yanga.

Yanga mtakeni Fei na Azam wafuate taratibu kisha mumuruhusu aende zake huyu hawezi tena kuitumikia club ya Yanga kwa moyo kwani hata mkimuongeza mshahara, kesho anaweza kushawishiwa kwa mshahara mkubwa zaidi hivyo atawasumbua tu.

Azam kama kweli wana hela na nia ya kuileta ushindani, kwanini wasitafute vipaji bora zaidi kutoka nje ya nchi ?

Leo ni Fei, kesho watamtafuta nyota mwingine wa Yanga na si kutafuta kutoka nje ya nchi.

Yanga mwachen Feii aende zake na tafuteni mwingine kutoka nje ya nchi mwenye uwezo zaidi naamini uwezo wa kusajili mchezaji mwingine mnao.
Unaishauri Yanga au Azam? Mchezaji wa Azam, inakuwaje uishauri Yanga isimpange?
 
Walipeni wachezaji hela nzuri. Hawatashawishika kuhama. Acha kulia lia.

Ni sawa na kuwaambia Azam wasilipe hela nzuri ili mfanane kwa pamoja.

Mchezaji yeyote akipata nafasi kwenye timu yenye maslahi bora, na aende.

Kama tu Fei mnamlipa 4m, bila shaka Kibwana atakuwa anakunja Laki 7 yake.
Ngoja watapomchukua Chama, ndio tutajua mnachosimamia.
 
Huu ndio ushauri wangu kwa kocha na uongozi mzima wa Yanga.

Yanga mtakeni Fei na Azam wafuate taratibu kisha mumuruhusu aende zake huyu hawezi tena kuitumikia club ya Yanga kwa moyo kwani hata mkimuongeza mshahara, kesho anaweza kushawishiwa kwa mshahara mkubwa zaidi hivyo atawasumbua tu.

Azam kama kweli wana hela na nia ya kuileta ushindani, kwanini wasitafute vipaji bora zaidi kutoka nje ya nchi ?

Leo ni Fei, kesho watamtafuta nyota mwingine wa Yanga na si kutafuta kutoka nje ya nchi.

Yanga mwachen Feii aende zake na tafuteni mwingine kutoka nje ya nchi mwenye uwezo zaidi naamini uwezo wa kusajili mchezaji mwingine mnao.
Nyie Sure boy na Gadiel Michael mliwatoa nje ya nchi wakati wanakuja hapo Yanga?
 
Back
Top Bottom