Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Endeleeni kuchonga lkn mawakili wa Feitoto sasa wanahamishia nguvu CAS, huko hakuna wa kuhonga, huko ni hoja juu ya hoja.Huko wewe unawasilisha hoja na mm nawasilisha.
Ninaamini baada ya uamuzi wa CAS ndio tutajua hatma ya soka letu kwa hawa wanasheria wetu hapa bongo.Feitoto hawezi kushindwa kesi hii kule CAS
Kazi kwenu.
Ninaamini baada ya uamuzi wa CAS ndio tutajua hatma ya soka letu kwa hawa wanasheria wetu hapa bongo.Feitoto hawezi kushindwa kesi hii kule CAS
Kazi kwenu.