Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
he doesn't deserve it.Tanzania tupende vya kwetu. Kwani miquissone kwa kiwango chake alideserve 40 mil per month? Mbona hammuongelei.. acha makasiriko GENTAMYCINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
he doesn't deserve it.Tanzania tupende vya kwetu. Kwani miquissone kwa kiwango chake alideserve 40 mil per month? Mbona hammuongelei.. acha makasiriko GENTAMYCINE
Hapo Sawa!Labda ya Zimbabwe!
Labda kama hujawahi kucheza mpira ila hakuna midfield wa bongo ambae hajafika miaka 30 hivi sasa ambae hajawahi kutamani kucheza kiungo kama anavyocheza Sureboy.Bora hata ungemsema mdadhir ungeeleweka
Kwanini tutumie hisia kujadili uhalisia? Weka hapa takwimu za Sureboy at his age. Ubora ni namba sio kupayuka tu. Tutembee kwa mifano halisi onesha Sureboy ali offer vitu gani katika kipindi chake ambacho Feisal hajaweza ku offer hadi sasa. Tuongee kimpira sio kimipasho. Njoo na datasure boy ni better than Fei. sure boy ni umri tu ila bonge moja ya mchezaji. Fei at his age awezi toboa
Sureboy anayeongelewa ni yupi kwanza? Ni yule alikuwa anacheza sigara kisha Yanga? Au ni huyu mtoto wake aliyetoka Azam kisha Yanga? Kama ni huyu wa sasa, basi haya maoni ni kwavile hachezei Yanga hivyo ni wivu, roho za kuachwa ndizo zinazotoa maoni kwenye hili.Labda kama hujawahi kucheza mpira ila hakuna midfield wa bongo ambae hajafika miaka 30 hivi sasa ambae hajawahi kutamani kucheza kiungo kama anavyocheza Sureboy.
Hahaaaaaa, acha majungu basi bosi? Eti akafume vibaraghashia pale mchambawima.Wa hapa hapa huyo amalize mpira akafume kofia zbar kwishaa