Feitoto wakati unatunyamazisha Wana Dar Young Africans Kiukweli Ulifanikiwa, Ila Kiko Wapi?

Feitoto wakati unatunyamazisha Wana Dar Young Africans Kiukweli Ulifanikiwa, Ila Kiko Wapi?

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari za wakati huu.

Jana tumeshuhudia mpira mzuri kutoka kwa timu zetu mbili bora zinazoenda kuwakilisha kimataifa CAF Champions League Msimu Wa 2024/2025.

Young Africans aliibuka mshindi dhidi ya Azam Fc wa kombe la CRDB Bank Federation Cup 2023/2024 kwa mikwaju ya penalty.

Sasa turudi kwa kijana aliyeimbwa vyema sana pale Jangwani Feisal Salum "Feitoto" jana baada ya kupiga penalty yake ya kiufundi na kukusanya uwanja wote tukae kimya.

Ukweli ni kwamba Feitoto ulitupatia sana kutunyamazisha na kutufumba mdomo na tuliumia sana kwa kile kitendo cha kutunyamazisha namna Ile, sasa ukatukumbusha kubana kegel zetu vyema mashabaki wa Dar Young Africans mabingwa wa kihistoria 30 times.

Sasa tunakuuliza KIKO WAPI? Ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto".

Maana Wana Dar Young Africans hadi sasa tumenyamaza toka utunyamazishe siku ya jana ila swali ni lile lile KIKO WAPI? Ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto".

KIKO WAPI? Hadi muda wa kuvaa medali ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto" ulitukimbia hukutaka kuvaa medali mbele ya watu uliowafumba mdomo.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
 
Habari za wakati huu.

Jana tumeshuhudia mpira mzuri kutoka kwa timu zetu mbili bora zinazoenda kuwakilisha kimataifa CAF Champions League Msimu Wa 2024/2025.

Young Africans aliibuka mshindi dhidi ya Azam Fc wa kombe la CRDB Bank Federation Cup 2023/2024 kwa mikwaju ya penalty.

Sasa turudi kwa kijana aliyeimbwa vyema sana pale Jangwani Feisal Salum "Feitoto" jana baada ya kupiga penalty yake ya kiufundi na kukusanya uwanja wote tukae kimya.

Ukweli ni kwamba Feitoto ulitupatia sana kutunyamazisha na kutufumba mdomo na tuliumia sana kwa kile kitendo cha kutunyamazisha namna Ile, sasa ukatukumbusha kubana kegel zetu vyema mashabaki wa Dar Young Africans mabingwa wa kihistoria 30 times.

Sasa tunakuuliza KIKO WAPI? Ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto".

Maana Wana Dar Young Africans hadi sasa tumenyamaza toka utunyamazishe siku ya jana ila swali ni lile lile KIKO WAPI? Ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto".

KIKO WAPI? Hadi muda wa kuvaa medali ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto" ulitukimbia hukutaka kuvaa medali mbele ya watu uliowafumba mdomo.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
WANAWAKE MNA MAMBO. UNAMSUTA MPAKA AKOME.
 
Habari za wakati huu.

Jana tumeshuhudia mpira mzuri kutoka kwa timu zetu mbili bora zinazoenda kuwakilisha kimataifa CAF Champions League Msimu Wa 2024/2025.

Young Africans aliibuka mshindi dhidi ya Azam Fc wa kombe la CRDB Bank Federation Cup 2023/2024 kwa mikwaju ya penalty.

Sasa turudi kwa kijana aliyeimbwa vyema sana pale Jangwani Feisal Salum "Feitoto" jana baada ya kupiga penalty yake ya kiufundi na kukusanya uwanja wote tukae kimya.

Ukweli ni kwamba Feitoto ulitupatia sana kutunyamazisha na kutufumba mdomo na tuliumia sana kwa kile kitendo cha kutunyamazisha namna Ile, sasa ukatukumbusha kubana kegel zetu vyema mashabaki wa Dar Young Africans mabingwa wa kihistoria 30 times.

Sasa tunakuuliza KIKO WAPI? Ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto".

Maana Wana Dar Young Africans hadi sasa tumenyamaza toka utunyamazishe siku ya jana ila swali ni lile lile KIKO WAPI? Ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto".

KIKO WAPI? Hadi muda wa kuvaa medali ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto" ulitukimbia hukutaka kuvaa medali mbele ya watu uliowafumba mdomo.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
Kijana amekulua ujombani anajiona yeye ndo yeye, alafu ndo hakawii kusema kwa mama na awamu hii aseme.
 
Habari za wakati huu.

Jana tumeshuhudia mpira mzuri kutoka kwa timu zetu mbili bora zinazoenda kuwakilisha kimataifa CAF Champions League Msimu Wa 2024/2025.

Young Africans aliibuka mshindi dhidi ya Azam Fc wa kombe la CRDB Bank Federation Cup 2023/2024 kwa mikwaju ya penalty.

Sasa turudi kwa kijana aliyeimbwa vyema sana pale Jangwani Feisal Salum "Feitoto" jana baada ya kupiga penalty yake ya kiufundi na kukusanya uwanja wote tukae kimya.

Ukweli ni kwamba Feitoto ulitupatia sana kutunyamazisha na kutufumba mdomo na tuliumia sana kwa kile kitendo cha kutunyamazisha namna Ile, sasa ukatukumbusha kubana kegel zetu vyema mashabaki wa Dar Young Africans mabingwa wa kihistoria 30 times.

Sasa tunakuuliza KIKO WAPI? Ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto".

Maana Wana Dar Young Africans hadi sasa tumenyamaza toka utunyamazishe siku ya jana ila swali ni lile lile KIKO WAPI? Ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto".

KIKO WAPI? Hadi muda wa kuvaa medali ndugu yetu Feisal Salum "Feitoto" ulitukimbia hukutaka kuvaa medali mbele ya watu uliowafumba mdomo.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
Watu hawakumwelewa yule dogo! Yule bado an donge na Yañga,kama walivyo Yañga kwake! Ndio maana hakuwepo kwenye Chaguo la Kwanza la penati 5 ! Kuna uwezekano Kocha aliona kihoro alichokuwa nacho, Ndio maana hakumuweka! Kutokana na hofu aliyokuwa nayo...Ndio maana alipfunga penati kiufundi alijiona na mahindi!
Fei Toto ni Mswahili ,kama ilivyo Timu yake ya zamani...Waswahili wakichaana huwa lazima wazodoane ' na mambo kama haya!
 
Back
Top Bottom