Feleshi, tutajie Mkataba wa Serikali iliyosaini bila ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kushirikishwa

Feleshi, tutajie Mkataba wa Serikali iliyosaini bila ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kushirikishwa

Mtumishiwetu

Senior Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
196
Reaction score
346
Nimesikiliza Hotuba ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akieleza ni marufuku kuanzia sasa mikataba kusainiwa bila idhini ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mhe Rais amesema hayo baada ya kulalamikiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa kuna mikataba Serikali inaingia bila kumshirikisha AG.

Sasa watanzania tunaomba AG atutajie mikataba ambayo nchi iliingia bila ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kushirikishwa.
 
Mikataba ya namna gani ndio anapaswa kushirikishwa ?

Halmashauri ikiingia Mkataba na Mkandarasi kusambaza kifusi barabarani anapaswa kushirikishwa AG?

Mikataba yote iliyopitia kwa Mwanasheria Mkuu msomi zaid aliepita Havard Kamanda Andrew Chenge ikapata baraka zake Taifa lilinufaikaje ukianzia Tegeta Escrow, IPTL, Rada, EPA n.k?
 
Nimesikiliza Hotuba ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akieleza ni marufuku kuanzia sasa mikataba kusainiwa bila idhini ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mhe Rais amesema hayo baada ya kulalamikiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa kuna mikataba Serikali inaingia bila kumshirikisha AG.

Sasa watanzania tunaomba AG atutajie mikataba ambayo nchi iliingia bila ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kushirikishwa.
Itakuwa wakati wa Mwendazake maana Mwendazake alikuwa kila kitu aliwahi Kuagiza
Mwekezaji akija aanze kujenga kwanza kisha Nemc na Watoa vibali wafuate
 
Makamba alisaini mkataba wa mabilioni na wahindi bila kumshirikisha mwanasheria mkuu.
 
KABUDI NDIO MSIMAMIZI NA MSHAURI WA MIKATABA YOTE YA SERIKALI KWA SASA!

AG-FELESHI KAA KIMYA!
 
Nimesikiliza Hotuba ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akieleza ni marufuku kuanzia sasa mikataba kusainiwa bila idhini ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mhe Rais amesema hayo baada ya kulalamikiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa kuna mikataba Serikali inaingia bila kumshirikisha AG.

Sasa watanzania tunaomba AG atutajie mikataba ambayo nchi iliingia bila ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kushirikishwa.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nimesikiliza Hotuba ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akieleza ni marufuku kuanzia sasa mikataba kusainiwa bila idhini ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mhe Rais amesema hayo baada ya kulalamikiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa kuna mikataba Serikali inaingia bila kumshirikisha AG.

Sasa watanzania tunaomba AG atutajie mikataba ambayo nchi iliingia bila ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kushirikishwa.
Naunga mkono hoja
P
 
kwa mujibu wa sheria mikataba ambayo inapaswa kwenda kwa Mwanasheria mkuu ni ili yenye thamani ya kuanzia TZS 1B. Chini ya hapo maafisa masuhuli wanaweza ku saini bila kupeleka kwa mwanasheria.

Mwanasheria mkuu hana uwezo wa kupitia mikata yote ya nchii kuanzia ya ununuzi wa stationery na ukarabati wa makaravati. Ni mingi mnoooo.

Pia mwanasheria huwa anatoa legal advice kwenye vipengele vichache tu vya kisheria na mara nyingi legal advice zao ni nyepesi kama pamba. Hawezi kubaini kama mkataba ni wa kipigaji au la kwa sababu hana technical capacity ya kujua mambo yote ya kitaalamu kwenye mkataba.
 
kwa mujibu wa sheria mikataba ambayo inapaswa kwenda kwa Mwanasheria mkuu ni ili yenye thamani ya kuanzia TZS 1B. Chini ya hapo maafisa masuhuli wanaweza ku saini bila kupeleka kwa mwanasheria.

Mwanasheria mkuu hana uwezo wa kupitia mikata yote ya nchii kuanzia ya ununuzi wa stationery na ukarabati wa makaravati. Ni mingi mnoooo.

Pia mwanasheria huwa anatoa legal advice kwenye vipengele vichache tu vya kisheria na mara nyingi legal advice zao ni nyepesi kama pamba. Hawezi kubaini kama mkataba ni wa kipigaji au la kwa sababu hana technical capacity ya kujua mambo yote ya kitaalamu kwenye mkataba.
Wanasheria wote wa umma saizi wako chini ya AG, hiyo mikataba ya makaravati unayoisema lazima Mwanasheria wa halmashauri husika ahusike, Mwanasheria huyo yuko chini ya AG kwa sasa.
 
Nimesikiliza Hotuba ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akieleza ni marufuku kuanzia sasa mikataba kusainiwa bila idhini ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mhe Rais amesema hayo baada ya kulalamikiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa kuna mikataba Serikali inaingia bila kumshirikisha AG.

Sasa watanzania tunaomba AG atutajie mikataba ambayo nchi iliingia bila ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kushirikishwa.
 

Attachments

  • 7D14038D-AE6D-4886-BE5F-B2F22488D419.jpeg
    7D14038D-AE6D-4886-BE5F-B2F22488D419.jpeg
    7.8 KB · Views: 4
Back
Top Bottom