Uchaguzi 2020 Felister Njau: Tulikamata mabegi matano ya kura za CCM ktk Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Felister Njau: Tulikamata mabegi matano ya kura za CCM ktk Uchaguzi Mkuu 2020

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mbunge wa viti maalumu, Felister Njau amepewa siku saba kuthibitisha kauli yake aliyoitoa bungeni kuhusu kukamatwa kwa mabegi matano ya kura wakati wa uchaguzi mkuu 2020.

Felister ametakiwa kupeleka uthibitisho huo na naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson leo Jumatano Februari 3, 2021 kutokana na kauli yake hiyo aliyoitoa bungeni wakati akichangia hotuba ya Rais John Magufuli ya ufunguzi wa Bunge la 12.

My Take
CCM wamepita kwa wizi wa kura, Covid19 wamepita kwa wizi wa vifungu vya katiba. Ngoma droo
 
Mbunge wa viti maalumu, Felister Njau amepewa siku saba kuthibitisha kauli yake aliyoitoa bungeni kuhusu kukamatwa kwa mabegi matano ya kura wakati wa uchaguzi mkuu 2020.

Felister ametakiwa kupeleka uthibitisho huo na naibu Spika, Dk Tulia Ackson leo Jumatano Februari 3, 2021 kutokana na yake hiyo aliyoitoa bungeni wakati akichangia hotuba ya Rais John Magufuli ya ufunguzi wa Bunge la 12.
 
Wahuni wanatakiwa kubanwa wanataka kufanya bunge kama ukumbi wa twitter kutoa vitu vya uzushi visivyo na ushahidi!
 
Waaaache propaganda, walikamata hayo mabegi kutoka kwa nani? Na baada ya kumkamata walilipotisha kituo gani cha polisiii?
 
Eti leta uthibitisho wakati yeye mwenyewe anajua vizuri hakumshinda Sugu kihalali, hao wote ni wasanii katika jumba la sanaa.
Propaganda zenu hapo ndo mtaumbukaaa. Hizo kula feki mlizikamata kwa nani, na baada ya kumkamata huyo mlimfikisha wapi?
 
Back
Top Bottom